Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Nimetokea kumkubali sana huyu mwamba nahodha wa Southampton Fc ya kusini mwa Uingereza. Kwanza jinsi anavyojikunja wakati anapiga mipira iliyokufa ni 🔥🔥
Anaitwa James Ward-Prowse yaani fundi kamili sana linapokuja swala la mipira iliyokufa. Amehusika kwenye magoli mengi sana yanayotokana na mipira iliyokufa kuliko mchezaji wowote kwasasa katika EPL.
Ila mwamba haimbwi pengine kwakuwa anachezea klabu ndogo, maana kila siku wanaotukuzwa ni akina Bruno na De Bruyne lakini kwa takwimu hawamkuti huyu mwamba wa Soton katika mipira iliyokufa.
Anaitwa James Ward-Prowse yaani fundi kamili sana linapokuja swala la mipira iliyokufa. Amehusika kwenye magoli mengi sana yanayotokana na mipira iliyokufa kuliko mchezaji wowote kwasasa katika EPL.
Ila mwamba haimbwi pengine kwakuwa anachezea klabu ndogo, maana kila siku wanaotukuzwa ni akina Bruno na De Bruyne lakini kwa takwimu hawamkuti huyu mwamba wa Soton katika mipira iliyokufa.