Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo unataka kusema zilihamishiwa huko wakati wa uumbaji?Ukimaliza hapo fanya tafiti ya wanawake wenye makalio makubwa...yaani ni zero kabisaa
Netherland unaiacha wapiBila kuweka sudani kusini tafit zako ni batili ko umeona hakuna nchi africa watu warefu ma giant wa sudan kusini unawajua au kuwasikia
Nani alikudanganya ukiwa na IQ kubwa utakuwa competent kwa kila jambo, machina machafu sana yako rough kwenye maisha.mongloid wote IQ zao ni zaidi ya 200
Mie najuaga watu wafupi ndio wanamatatizo mengi yaani :-Kama ulifanya utafiti, nilitarajia utakuja na majibu ya utafiti wako na sio wanaume tukupigie kura aloooo..☹️
😂😂😂😂😂😂BalaaaaaMie najuaga watu wafupi ndio wanamatatizo mengi yaani :-
-low IQ,
-low reasoning capability,
-low thinking capacity,
-short temper,
-low sperm count,
-low blood pressure,
-low libido ,
-short sight,
-low vision,
-Short penis
-Short cervical length
-short legs
-short arms
-low confidence
Yaani balaa tupu.
Einstein mwenyewe iyo 200 hajaifikia hao mongoloid eyes wanarange 101-106 na wanarange kama moja ya jamii zenye high iq.mongloid wote IQ zao ni zaidi ya 200