Kwanini Jf imejaa member waoga ?

Kwanini Jf imejaa member waoga ?

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Unaweza mkuta member wa Jf anatumia mitandao mingine kama facebook,twiter na kwingine lakini kote huko anatumia jina lake halisi na ameweka hata baadhi ya taarifa zake wazi.
lakini unapokuja ndani ya himaya ya maGREAT THINKER wengi wao ni waoga hata kuweka majina yao au picha zao au hata kueleza walikosoma,wanakoishi au hata wanakopendelea kutembelea.
hapo bado utakuta member wengi siyo wanaopost labda thread za kutisha ama kukosoa serikali,lah.
KWANINI HAYO HUTOKEA AU KWA SABABU YA SHERIA YA Jf KURUHUSU FAKE ID ?
 
Kwanza nenda kajifunze maana ya online forum.ukishajua ndo utaelewa kuwa kuna utafauti kati ya jamii forums na hizo soshonetweki kama fb na insta.ukishajua ndo utafahamu kuwa nyinyi mnaoweka mapicha na majina yenu halisi ndo mnaokosea.
 
naona unahamu sana ya kujua member wenzako wa jf,ok tuandalie venue on transit na night tutakuja utufahamu mkuu
 
tunajiitaje mashujaa na hatutaki kufichua sura zetu,mbinu rahisi ya kumpiga adui yako ni kuvaa gwanda lisilo na bullet proof
 
Back
Top Bottom