Yaani acha tu wataumiza vichwa lakini hamna atakayepatia:tonguez:..I'm very smart on that mana hata scenario yenyewe atakuwa ameisahau halafu sikujiunga JF mwezi ule ule, ilinichukua miezi 5 zaidi ndiyo nikawa member. Muda mwingi napenda kusoma kuliko kuchangia!
Ila nikikumbuka nilivyojiunga JF, he cross my mind🙂))
Thanks for this topic Asha...
Walionishawishi kujiunga na JF ni Tablets wawili Asprin na Klorokwin napenda sana michango yao na mawazo yao always huwa wanachangamsha sana jamvi...
Baada ya hapo Familia ya Tablets imeendelea kukua Fellow tablets, T F, Asprin, Klorokwin, Quinine(yupo kwenye siasa sana), na mimi mwenyewe Fellow Tablet1...
Viva JF
I like honest people like youMimi ilikuwa 2007, september...nikiwa chuo Kenya (lemmie market my university-AFRICA NAZARENE UNIVERSITY---current runners up Zain Africa Challenge)! I had no idea it will be this great a forum..those days nikitaka habari za bongo naenda michuzi, bongocelebrity, au darhotwire..lakini i neva used to get enaf of it. Then siku moja nikiwa likizo home nikasikia mtu akitaja blogs nzuri za bongo na hii ilikuwa mojawapo...then nikajiunga na JF with MY FIRST ID.
kuendelea mbele, nilikuwa notorious...kuna posts nilikuwa nataka kukomenti ila nisiharibu reputation ya my curent name nikaona isiweshida nikafungua my SECOND ID.
The baadaye nikaokoka, nikataka niwe naweka posts za kilokole tu....Nikafungua MY THIRD ID.
Mpaka sasa ninazo..ah nshasahau, ata nyingine nimesahau majina na passwords...but hii ndo yangu..the real me, no hiding, what I say ndo kilichoujaza moyo wangu!
Mimi ilikuwa 2007, september...nikiwa chuo Kenya (lemmie market my university-AFRICA NAZARENE UNIVERSITY---current runners up Zain Africa Challenge)! I had no idea it will be this great a forum..those days nikitaka habari za bongo naenda michuzi, bongocelebrity, au darhotwire..lakini i neva used to get enaf of it. Then siku moja nikiwa likizo home nikasikia mtu akitaja blogs nzuri za bongo na hii ilikuwa mojawapo...then nikajiunga na JF with MY FIRST ID.
kuendelea mbele, nilikuwa notorious...kuna posts nilikuwa nataka kukomenti ila nisiharibu reputation ya my curent name nikaona isiweshida nikafungua my SECOND ID.
The baadaye nikaokoka, nikataka niwe naweka posts za kilokole tu....Nikafungua MY THIRD ID.
Mpaka sasa ninazo..ah nshasahau, ata nyingine nimesahau majina na passwords...but hii ndo yangu..the real me, no hiding, what I say ndo kilichoujaza moyo wangu!
Mume wangu alikuwa akiingia(jukwaa la siasa) akikutana na thread interesting ananiita niisome,taratibu nami nikaanza kuingia kama guest na hatimaye nikajoin na kujikuta nimejichimbia huku.
Mume wangu alikuwa akiingia(jukwaa la siasa) akikutana na thread interesting ananiita niisome,taratibu nami nikaanza kuingia kama guest na hatimaye nikajoin na kujikuta nimejichimbia huku.
mpenzi itabidi unipe number ya simu
nikueleze maana itanichukua 42/7
kuorodhesha kwa nini
hahahahah lol
Nijuacho nimekosa mume ajili ya JF mmmhh
Hujambo Afro?
mpenzi itabidi unipe number ya simu
nikueleze maana itanichukua 42/7
kuorodhesha kwa nini
hahahahah lol
Nijuacho nimekosa mume ajili ya JF mmmhh
Tnx Asha D! Kwa thread za ukwel, mimi bwana kujiunga kwangu JF chanzo kilikuwa Kibonde wa clouds fm, ilikuwa mwaka jana nipo kwnye folen natoka shule tambaza, sasa tulikuwa tunasikiliza Jahazi, bas kibonde akaanza kulalamika kuwa kna blog ina vijana wasomi wachambuz wa mambo wazuri lakini wameanza tabia ya kumuongelea vibaya mtu badala ya kuongelea masuala muhimu ya kitaifa, sasa alikuwa hatak kuitaja, Gadna akamwambia we c wachane wataje tu, ndo Kibonde, akaitaja JF, cku zikapita, sa usiku m1 nimesoma nimechoka, nikaingia Net via mobile nikakumbuka JF, Nikaingia Google, nikapata link ikawa ya MMU, km kna anayekumbuka ilihusu mke akilalama mme wake ambaye alikuwa sheikh wanaish tanga, mme alikuwa anataka tigo, mke alikuwa anaomba ushaur sbb alikuwa hatak, na mme hatak kumpa talaka, dah! Ilinisikitisha sana ile stor. N hayo tu wanajamvi.
The number ya simu lazima ni Pm..
but nimesikitika saana kusikia umekosa mume bcoz ya JF
I really hope you are kidding for itaniuma....
Thank you for sharing Dear...
Nilikuwa mbali na Bongo, nilikuwa natembelea blog mbalimbali kupata news za home, kunajamaa mtz mwenzangu aliniambia kuna kitu inaitwa jf itanifaa kwa habari mbalimbali.. Nikawa naingia kama Guest baadae nilitamani watu wanavyo jiachia nikazama ndani nawapenda jf, na mods wake wapo juu God bless you all.. Long live jf.
BB napenda that Avatar saaana, but nilikua napata PMs kila siku nibadilishe,
nilitia ngumu but eventually nikatoa... Naipenda ile cause mtu anashindwa
kuimagine the way you are.... [COLOR=red]ya namna niliyoweka iko so misleading[/COLOR]....
Mume wangu alikuwa akiingia(jukwaa la siasa) akikutana na thread interesting ananiita niisome,taratibu nami nikaanza kuingia kama guest na hatimaye nikajoin na kujikuta nimejichimbia huku.