Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
Code:
huwa napenda sana majibu yako
lakini kunawakati unajibu mpaka unayaharibu
mambo mengine si ya kusema kihasara kiasi hicho
we huwezi elewa mwisho wa maisha ya mtu hapa duniani..
kwa hiyo naomba siku nyingine nijibu kama usomavyo poster
yangu amasivyo niruke tuuu..
Pole umeenda haraka sana ni mesema ....TO OTHERS................not to you .....dear...................I was very careful not to offend your sensibilities.............