Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
huwa napenda sana majibu yako
lakini kunawakati unajibu mpaka unayaharibu
mambo mengine si ya kusema kihasara kiasi hicho
we huwezi elewa mwisho wa maisha ya mtu hapa duniani..
kwa hiyo naomba siku nyingine nijibu kama usomavyo poster
yangu amasivyo niruke tuuu..
mimi sikumbuki ilikuwa vipi but kuna article ya blue ray kuhusu jk
inaitwa kikwete na haiba isiyo na sababu
duhhhhhhh
niliposoma hiyo article nikajiunga siku hiyo hiyo
pia na daudi balali na scandals zake
Well said AD, nimebahatika saana kumuona Mzee DC at work
but ni observer mmoja matata saana hua haingilii kwa woote
but nimengundua the one anawajali lazima aingilie kati na
kutoa warning... sometimes in a mzaha way but very true....
Code:huwa napenda sana majibu yako lakini kunawakati unajibu mpaka unayaharibu mambo mengine si ya kusema kihasara kiasi hicho we huwezi elewa mwisho wa maisha ya mtu hapa duniani.. kwa hiyo naomba siku nyingine nijibu kama usomavyo poster yangu amasivyo niruke tuuu..
Pole umeenda haraka sana ni mesema ....TO OTHERS................not to you .....dear...................I was very careful not to offend your sensibilities.............
DC mtu muelewa sana
ila saa nyingine mvii zinazidi
na watoto wa 21 Century "kizazi cha dotcom"
(ndio msemo wake) wanamuumiza
kichwa lakini yumo .. ni mmoja wa watu niliongea nao
na kwa kweli kheshima zangu nampa.. ni mtu mwenye
busara sana saa zote yeye anatoa mafunzo yale ya mwaka
wa 1947... ..
huwa napenda sana majibu yako
lakini kunawakati unajibu mpaka unayaharibu
mambo mengine si ya kusema kihasara kiasi hicho
we huwezi elewa mwisho wa maisha ya mtu hapa duniani..
kwa hiyo naomba siku nyingine nijibu kama usomavyo poster
yangu amasivyo niruke tuuu..
Nimeona dear na nakubaliana nawe tena mambo ambayo
huingilia kati kuweka sawa saana ni relationships... alimpiga siku
moja beat wa karibu wangu kuhusu issue fulani, nika PM miwa kua
I should nirekebishe hio issue sababu Mzee DC hapendi....lol
Kweli nikarekebisha nikafuata mzee wa busara...
Partner naona mmeanza tayari....!
AD shikamoo!
Code:huwa napenda sana majibu yako lakini kunawakati unajibu mpaka unayaharibu mambo mengine si ya kusema kihasara kiasi hicho we huwezi elewa mwisho wa maisha ya mtu hapa duniani.. kwa hiyo naomba siku nyingine nijibu kama usomavyo poster yangu amasivyo niruke tuuu..
Suala la kuwaheshimu wazee na kuongezewa siku hapa duniani siyo langu ni kauli ya Muumba ambaye ajua yote......................ila siku nyingine tupongezane mapema na wala tusisubiri siku ambayo twaona tumekwaruzika................ndiyo tuchanganye pongezi na lawama........................lakini karibu sana Afrodenzi............
Marahaba hujambo
binti mrembo....??
nlikuwa nakutafuta
chumba cha pili sijakuona mmhhh
Wala sijibu salamu yako maana umenitupa utadhani nilikulia nyama zako!
kwani hujala mmmhhhh
nway ngoja nikuache ununeee weeeee
ukichoka utanitafuta mweenyeeweeee
hahaahaahah lol
Nshanuna tangu lini ile sijui!Unapatikana pande zile nikuchungulie?!
hahahahha lol
umenuna lakini bado wanitaka
ndio maana nakupenda bure
mmmh haya twende tukaufinyange
kidoncho hahahah lol
Partner naona mmeanza tayari....!
AD shikamoo!
Marahaba hujambo
binti mrembo....??
nlikuwa nakutafuta
chumba cha pili sijakuona mmhhh
Wala sijibu salamu yako maana umenitupa utadhani nilikulia nyama zako!
kwani hujala mmmhhhh
nway ngoja nikuache ununeee weeeee
ukichoka utanitafuta mweenyeeweeee
hahaahaahah lol
Nshanuna tangu lini ile sijui!Unapatikana pande zile nikuchungulie?! !
hahahahha lol
umenuna lakini bado wanitaka
ndio maana nakupenda bure
mmmh haya twende tukaufinyange
kidoncho hahahah l!
Ntaacha kukutaka wakati nakupenda...nahitaji tu kubembelezwa kidogo baasi! !
hahahaahah lol pole mwaya
kuna ishu nyingine zinanitia kero..
hizo nazijibu kavu kavu tu ..
ntaambiwa nirekebishe kidogo mie
naacha hivyo hivyo sababu nataka nilie mjibu
anijibu hahahahahah lol
kwa hiyo my dear saa nyingine ulichosema
kama ni sahihi kwako hata usirekebishe..
lakini ukisoma mara mbili na si sawa mmhh
hapo labda .. samahani mpendwa. saa nyingine
ni vema kutapika kinacho kukaba..