Kwanini JF?

haya legend...hongera sana sana!!!
 


You have said it all dearest Michelle.... and the words in purple; coming from you is a priviledge!


The Following User Says Thank You to Michelle For This Useful Post:

Asha D (Today)
 
Kwa upande wangu,mimi kuna rafiki yangu aliniambia kuhusu jf,nikajiunga,yah nimepata kujua mengi kidogo but naendelea kujifunza!


Eiyer brother did not see your post... sorry...


Thank you for sharing....:A S-rose:
 
Freedom of expression, knowledge and skills provided by members.... need I say more???

There is everything here my dear, kitchen parties.....


Okada the thread ilienda fast saana so nilielemewa design...
sorry did not read your post....


Thank you for sharing.....:A S-rose:
 
Well said AD, nimebahatika saana kumuona Mzee DC at work
but ni observer mmoja matata saana hua haingilii kwa woote
but nimengundua the one anawajali lazima aingilie kati na
kutoa warning... sometimes in a mzaha way but very true....

Ahsante Asha....Ni matatizo ya huu uzee...kadri meno yanavyokongoroka mdomoni na maneno nayo yanaisha.

Tuko pamoja lakini. Dunia bila maua haina maana kabisa!!!



AD,

Kanyaga mdogo mdogo dia...Unaweza kukosa usingizu bure na kuanza kuyakaribisha matatizo yasiyo na tija kama yale ya BP na nduguze akina stroke.....Weee cheka na kuminya jicho kama hujaona kitu....kwa afya yako!!
 
Ahsante Asha....Ni matatizo ya huu uzee...kadri meno yanavyokongoroka mdomoni na maneno nayo yanaisha.
Tuko pamoja lakini. Dunia bila maua haina maana kabisa!!!

Mzee Dark City umeeleweka kabisa na mimi naona macho
yako yanaona vizuri kabisa maana bado sijaona ulipokosea...
Nashukuru hata hivyo kwa fidbak - shows that you care
Naamin na Afro D atafurahi pia...
 


AD na Asha D (AD Mdogo) nimewapata sana na nimezitendea haki posts zenu!!! Nikumbusheni nikurudi safari nisisahu kuwaletea pipi...Unajua hii akili ya mwaka 1947 inashambuliwa na utelezi utelezi kama mrenda au bamia.....

Tuko pamoja lakini.....Mzee DC


Umenikumbusha mbaali sana Bro.....Enzi zetu hao walikuwa wanaitwa intake eg ya 2008, 2009, 2010 au 2011...Pale Muzumbe enzi za IDM kila intake ilikuwa inaacha historia pale kijijini (jirani na chuo). Usishangae kufika pale ukaambiwa huyo mtoto ni ADCA (adv dip in accountancy( 1996!!!! Hope na hii intake ya 2011 itaacha historia fulani hapa JF....Me watching eagerly!!
 
Mzee Dark City umeeleweka kabisa na mimi naona macho
yako yanaona vizuri kabisa maana bado sijaona ulipokosea...
Nashukuru hata hivyo kwa fidbak - shows that you care
Naamin na Afro D atafurahi pia...


Wewe Asha wewe,

Saa hizi bado uko hapa unafanya nini?

Wenzio tuko tunafarahia kuwaona wajukuu wamelala fofo na ndoto zao za ajabu ajabu. Wewe unangoja nini badala ya kuutafuta usingizi ili uongeze kimo? Hii sasa ni addiction squared!!

Mzee DC
 
I was then in alaska,boredom,baridi,homesickness,shule ngumu were hitting me left,right and centre.On the verge of cracking up,a pal back home akanipa coordinates za JF.Since then i have never looked back
 
Umenikumbusha mbaali sana Bro.....Enzi zetu hao walikuwa wanaitwa intake eg ya 2008, 2009, 2010 au 2011...Pale Muzumbe enzi za IDM kila intake ilikuwa inaacha historia pale kijijini (jirani na chuo). Usishangae kufika pale ukaambiwa huyo mtoto ni ADCA (adv dip in accountancy( 1996!!!! Hope na hii intake ya 2011 itaacha historia fulani hapa JF....Me watching eagerly!![/QUOTE]

kijiji kile ni changarawe-ma graduate wameacha watoto sana
 
Wewe Asha wewe,

Saa hizi bado uko hapa unafanya nini?

Wenzio tuko tunafarahia kuwaona wajukuu wamelala fofo na ndoto zao za ajabu ajabu. Wewe unangoja nini badala ya kuutafuta usingizi ili uongeze kimo? Hii sasa ni addiction squared!!

Mzee DC


Naondoka... nipo nje ya home mkoa mwingine, ni full kujiachia... Goodnite.
 
I was then in alaska,boredom,baridi,homesickness,shule ngumu were hitting me left,right and centre.On the verge of cracking up,a pal back home akanipa coordinates za JF.Since then i have never looked back


I can now see why the name.... good insight..
am glad in one way or another JF makes you feel at home
and am glad too you are one of the members....


Thank you for sharing..
 

Mie niliisikia Jambo Forum (jina la wakati huo) katika vijiwe vya Wabongo. Katika mazungumzo mara nyingi walipenda kuzungumzia michango moto moto ya mwanachama mmoja kwa jina la wakati huo alikuwa anaitwa Mzee ES. Basi baada ya kusikia michango hiyo moto moto kwa kupitia kwa watu siku moja nikaamua kuitafuta kupitia google ili nami nimsome huyo Mzee ES (By the way alipata promotion ya nguvu na siku hizi anajulikana kwa jina la Field Marshall ES) basi kila nikiingia hapa nilikuwa natafuta jumbes za Mzee ES nikishazisoma mbili tatu nasepa hahahah lol! maana kulikuwa na sites zangu nyingine ambazo huko ndiko nilikokuwa nashangaashangaa sana, lakini kila siku ikawa narudi kuja kumsoma Mzee ES na vimbwanga vyake.

Baada ya muda kama wa siku 10 au wiki mbili hivi nikaanza kusoma michango ya wachangiaji wengine mbali mbali na hapo ndio nikaanza kujenga addiction taratibu na hii kitu inaitwa JF na wala sioni aibu kusema katika miaka zaidi ya minne sasa jamvi hili ndilo nakuwepo kwa muda mrefu sana kuliko site nyingine yeyote ile mtandaoni kusoma na kuchangia michango mbali mbali inayohusu hatima ya nchi yetu na mijadala mingine muhimu na pia burudani tosha katika majukwaa mengine mbali mbali yaliyopo hapa jamvini.

Nimekutana na watu wa maana sana hapa ambao naweza kusema wamekuwa marafiki wa karibu mno na wakati mwingine hushauriana mambo mbali mbali ya kimaisha ama hapa jamvini au pembeni. Ahsante sana Asha kwa uzi mzuri sana. Ubarikiwe sana. IDUMU JF! IDUMU!
YouTube - ‪Beyoncé - If I Were A Boy‬‏
 
Mimi kichwa ngumu kweli,nliifaham Jf toka 2007 ikiitwa jamboforum,nikawa navisit mara mojamoja,lakn last year nikajiunga then nikasahau password,lakn baada ya waziri kusema jf ni hatari,ooh nikarud na nika change password,last month nlikuwa kijijin kikaz,nikawa cna jambo la kufanya,nikawa naingia jf,hadi sasa nimekuwa an addict..Jf haina mpinzan,fb hamna kitu,thanks Asha D.
 
Kwa hiyo ID yako ya zamani umeisahau?hongera keep it up
 

Bak as much as it is a brief explanation ya why ulijoin
naona pia na kama a part of history ya JF ambayo ni interesting
to know... Suala la nchi yetu, hilo ni bonge la headache na it is so
dissapointing kua sometimes mtu unaona bora uwe interested na issues
za nje i.e. Libya badala ya ku stick our nose in things that concerns and
matters to us directly... Nawashukuru walo ku influence kwa wao kuchangia
kua JF member mpaka leo hii we are both members....


Thank you for sharing....:A S-rose:






Bak asante kwa baraka zako may it be the same to you,
na reciprocate you saying... Idumu JF Idumu!!!
The Song.... I like Beyonce especially nyimbo zake za utulivu
acha zile alizo concentrate ku hit Soko... and this is one of her
song i love....


Thank you.....
 
Reactions: BAK


Hapa nilipenda saana ungekua umenipa insight ya kua mara
ngapi umejiunga.... kwamba was it a BAN ilosababisha ujiunge
upya December? au tu kama Mentor alivyosema kua multiple IDs
sababu ni mkongwe i believe nitajijunza kitu....


Thank you for sharing...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…