Hahaha...! Kweli mada tamu sana....! Lakini hebu tucheki hii kitu kwanza;
1. Tangu kujiunga JF - 45 days
2. JF membership Status - JF Senior Expert Member
3. No. of posts - 2,242
4. Date joined - 16 April 2011
5. rep Power - 28
Duh...! Kweli umekuwa addicted...!
Kona kali naamini huo ni udhibitisho tosha kua niloongea katika post ni kweli....lol..
Nipo rehab saizi... Juzi nilikua safarini, ilinibidi nicharge my laptop na ya dereva so that
walau niwe hewani for at least three hours.... I hope my personal rehab itafanya kazi..
:focus:
Tell me what prompted you...
Wewe haumo kwenye hiyo list ya wasema uongo worry not! na sitofafanua zaidi. wahusika nitawaPMNiko haywire, hebu rudia tena nielewe kwanini umesema hivyo..
kauli za kikubwa ni ngumu kurespond.
Tumetoka mbali.
Wewe haumo kwenye hiyo list ya wasema uongo worry not! na sitofafanua zaidi. wahusika nitawaPM
Wewe haumo kwenye hiyo list ya wasema uongo worry not! na sitofafanua zaidi. wahusika nitawaPM
Asha D, umemsoma kwa makini huyu greti thinka FA [COLOR=red]ambae daima namkubali sana kwenye michango yake[/COLOR]. hii post yake ina maana pana sana. ubarikiwe FA
Uongo upi huo mkuu klorokwini?Hii sredi nimegundua wengi wetu tunajibu uongo lakini tuvumiliane tu. heheh hapa kijijini wananiita Lawyer, naomba usibishe.
Code:Asha D, umemsoma kwa makini huyu greti thinka FA [COLOR=red]ambae daima namkubali sana kwenye michango yake[/COLOR]. hii post yake ina maana pana sana. ubarikiwe FA
Kama unamkubali sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa basi tusaidie kufafanua alimaanisha nini maana miye nimetoka kapa.........
Uongo upi huo mkuu klorokwini?
heheeh dah! magreti thinka punguzeni hasira bana. [COLOR=red]Wahusika tayari nimewaPM, kama haujapokea PM yangu basi ujue haumo kwenye listi ya waongo.[/COLOR]
Hivi AshaD ile avatar yako ya zamani ni aje? niliizoea sanaTusker Baridi finally the Avatar to the name...lol
naona nyie ndo maguru wenyewe hivyo appreciated sana
kwa kuelezea....
Thank you for sharing...
Hivi AshaD ile avatar yako ya zamani ni aje? niliizoea sana
in 2005 or 2006 kuna research nilikuwa nafanya for my MA. nika google kutafuta info fulani ndio nikajua JF ina exist. but sikuwa member. now am far from my family, i thought it is a good network for pasting time. Japo am now thinking of stopping before am addicted
Belinda Jacob of all the statement hio ndo imestand out kwangu.. poor guys
kila mmoja ataanza kutafakari kama amewahi recommend kwa Ex yeyote,
raha gani zaidi waweza pata zaidi ya kujua Ex anaendeleaje...lol...
I hope haaaribu - i feel for the guy...
Thank you for sharing...
heheeh usikute x wa BJ ni CPU lol....................... natania tu wajameni
Walionishawishi kujiunga na JF ni Tablets wawili Asprin na Klorokwin napenda sana michango yao na mawazo yao always huwa wanachangamsha sana jamvi...
Baada ya hapo Familia ya Tablets imeendelea kukua Fellow tablets, T F, Asprin, Klorokwin, Quinine(yupo kwenye siasa sana), na mimi mwenyewe Fellow Tablet1...
Viva JF
Partner nimeamua kwamba leo tunapiga kambi hapa maana huko kwingine hakueleweki!!Ila nasubiria subiria watu wamalize kushea....