Kwanini Joseph Oleshangay anadhaniwa kuwa ni an Enemy of the People?

Kwanini Joseph Oleshangay anadhaniwa kuwa ni an Enemy of the People?

Kwani mkuu; wewe hapo unapoishi kwa sasa ndipo ulipozaliwa na kukulia? Tukiendekeza Umimi tutajikuta tumegawanyika na hapo itakuwa shida kubwa e.g. Hao waliohamishwa/waliohama nao wataanza kudai simba,tembo,twiga,nyumbu n.k. i.e. wanyama pori nao wapelekwe huko walikohamia ili hao Maasai wajione kama bado wapo Ngorongoro/Loliondo.
Hapana aisee. Tudumishe umoja either uwe ni mmasai, mtindiga, mpare, mrangi, mchaga n.k. ishi pale unapotaka alimradi ufuate Taratibu zinazokubaliwa.
Ni zipi ndo ni Haki pekee za Wamasai tofauti na watu/makabila mengine au watu wengine? Tafakari mkuu.
Nawewe ulihamishwa kwenu akapewa mwarabu?
Msitetee upuuzi
 
Nawewe ulihamishwa kwenu akapewa mwarabu?
Msitetee upuuzi
Kwetu ni wapi?
Mbona unakuza mambo kana kwamba umekosa mahali pa kuishi kwa sababu ya Mwarabu. Unamaanisha nini unaposema "...akapewa Mwarabu"?
 
Kwetu ni wapi?
Mbona unakuza mambo kana kwamba umekosa mahali pa kuishi kwa sababu ya Mwarabu. Unamaanisha nini unaposema "...akapewa Mwarabu"?
Inaonekana hujielewi na huelewi unachojadili hapa.
 
Kila kabila liwe na nchi yao. Afrika mfumo wa nchi tuliubaka. Hebu angalia kiongozi anavyoweza kuchukua raslimali za mkoa mwingine akaenda kujinufaisha mwenyewe. Mkapa alichukuaga mtambo wa kufulia umeme huko musoma ulioachwa na wajeruma akaupeleka kwao mtwara.

Ila huu mfumo wa serikali sijui Ni Nani aliyeunzisha yaani mtu mmoja anakuwa na maamuzi ya watu wengi yaani utadhani anawajua wote wanayotaka jamani. Wabunge wenyewe wanamsikiliza yeye huyo mtu mmoja.
Damu itamwagika Kama Hakuna usawa na jamiii moja kuonewa kwani Rwanda waliuanaje
Kabisa. Au kila kabila liwe ni jimbo linalojitegemea ndani ya nchi. Huyu mama anaivuga nchi na kugawa kila kitu.
 
Duh! Mkuu, Umeelewa ndivyo sivyo. Nilisema Tz tuna makabila zaidi ya 120 lakini bado tupo wamoja, tunaelewana na hatubaguani. Mtanzania yeyote anaweza kuishi popote ilimradi afuate Taratibu. Sikusema eti tuna umoja wa kuuza ardhi. Hata hivyo mkuu usipotoshe watu kwa makusudi. HAKUNA ARDHI YA TANZANIA ILIYOUZWA. Kama ipo , thibitisha. Elewa vizuri tofauti iliyopo kati ya Kukodi na kuuza/kununua - mbona ni vitu viwili tofauti kabisa? Je, unapata faida gani kwa kuupotosha Ukweli na kusambaza habari potofu kama hiyo? Ardhi gani iliyouzwa na kwa shilingi/dola ngapi? Utupatie na risiti iliyotolewa kuthibitisha mauzo hayo.
Namie nimesema ivi tuna umoja wa kusaini miktaba ya ovyo. Kujenga Monopoly katika soko fulani. Nenda kaone Ni Nani anayeruhusiwa kuagiza mafuta. Jpm alisema Kuna miktaba ya ovyo Kama 200 ya kuuza raslimali zetu si ndio umoja wenyewe huo lakini.
Gawio la dhahabu, diamond tunapata ngapi kwa umoja wetu. Bandari iyo inaenda kwa dp world hakuna kulipa tax na mktaba Ni milele sio umoja huo ama nakosea.


Kuna software ilikodiwa from India ya kufuatilia umeme kukatika kwa dola milioni 30, huku hakuna vifaa tiba huko Kijijini na mtt anakaa chini na pia darasa la udongo ,maisha ya watoto wetu yapo hatarini Ila mtu anajichotea 75bilioni tzs za kukodi software zimuambie kuwa Ni wapi umeme umekatika. Walimu wa masomo ya Sayansi hawapo wa kutosha hakuna hela ya kuwajiri Ila hela ya kuiba ipo.
Naona bana mna umoja mzuri mno endeleeeni nao kila Taifa linawaonea wivu.

Kia vipi mmepa mwarabu na wanyama vipi wanaenda uarabuni. Hivi mwinyi aliitoa ngorongoro miaka mingapi na mkapa akawapa madini wazungu miaka mingapi.

Gesi imeenda na tuliambiwa shida ya umeme inaenda kuisha ,Naona bana mna umoja haiwezekani makabila Mia na 40 kuishi bila ya Vita.
Nawakubali kwa umoja wenu Ile mbaya
 
Back
Top Bottom