Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni geog teacher wa bachelar.
Majibu mliompa ni sahihi kabisa
ila man umenifurahisha sana
Nlisoma nikiwa mdogo kule madarasa kwene Quran kua jua linazunguka
lakin nlipofika form one nkaambiwa jua lipo stationary
Nkamuuliza mwalim wang kuhusu nlivosoma madrasa ikabidi amuite mwalim mwenzake ambae alikua.deep kwene Quran akanambia ni kweli jua linazinguka lakin wanasayansa bado wanafanya utafiti
ila sasa baada ya kua na degree nmeona umuhim wa kufanya intergration of knowledge
Yaani tusiwaamini sana wazung hawa na theory zao tujaribu kusoma na vitabu vya dini navyo vinasemaje kuhusu hlo
Sina maana ya kuharibu thread km wewe ila hata kwenye Biblia Takatifu Mussa aliweza kulisimamisha jua baada ya kuzidiwa na kutaka battle iendelee kukiwa kweupe pee bila giza! alizuia usiku usiingie. Sasa jiulize hapo alizuia dunia isijizungushe kwenye mhimili wake au jua lisijizungushe?!
Ameuliza kwa lugha ya kiswahili kwanini umjibu kwa lugha ya kiingereza?
Jua la asubuhi linakuwa limetoka kulala ndo maana sio kali sana ila lile la mchana linakuwa limeshaanza kazi ndo maana linakuwa kali.
Jua la asubuhi linakuwa limetoka kulala ndo maana sio kali sana ila lile la mchana linakuwa limeshaanza kazi ndo maana linakuwa kali.
Sina maana ya kuharibu thread km wewe ila hata kwenye Biblia Takatifu Mussa aliweza kulisimamisha jua baada ya kuzidiwa na kutaka battle iendelee kukiwa kweupe pee bila giza! alizuia usiku usiingie. Sasa jiulize hapo alizuia dunia isijizungushe kwenye mhimili wake au jua lisijizungushe?!
angle ndo kila kitu.... ikiwa mchana jua linakua 90 degree ambayo ndo inakua maximum, asubuhi na jion jua linakua chini au zaidi ya hizo degree!!!
Theory and not estabished fact. that what we have been taught in the past but it has been discovered just recently the sun is also moving... google you will see...
I'm so sorry ...kiswahili mi kutafsiri kinanipa shda kwa uelewa uleule niliomaanisha...ila majibu kayapata ....kumbuka ugunduzi mwingi unafanywa na non Africans pia
duh hii mpya
Sina maana ya kuharibu thread km wewe ila hata kwenye Biblia Takatifu Mussa aliweza kulisimamisha jua baada ya kuzidiwa na kutaka battle iendelee kukiwa kweupe pee bila giza! alizuia usiku usiingie. Sasa jiulize hapo alizuia dunia isijizungushe kwenye mhimili wake au jua lisijizungushe?!