Kwanini jua, Mwezi, Nyota, vinaelea angani?

Kwanini jua, Mwezi, Nyota, vinaelea angani?

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
416
Wakuu kuna mada fupi hapa,

Eti kwanini Jua, Mwezi, Nyota na Sayari zinaelea angani? Kwanini hazianguki chini? Pia kwanini nyota na mwezi huonekana wakati wa usiku tu?

 
Hapo ndio ujue kuna one supreme being that's GOD the master of the people and the universe.

Anajaribu kuproves uweza wake tu Baba yetu huyu mtukufu..Adonai, Allah, jehova,
 
Wakuu kuna mada fupi hapa,

Eti kwanini Jua, Mwezi, Nyota na Sayari zinaelea angani? Kwanini hazianguki chini? Pia kwanini nyota na mwezi huonekana wakati wa usiku tu?

Mkuu K 4 LIFE kuna Nadharia Mbili katika Fizikia ambazo zinaweza kujibu swali lako;
Ya kwanza ni nadharia ya UHUSIANIFU au General RelativityyaAlbert Einstein Au Gravitational ya Newton.

For sake of simplicity,nitatumia ya Sir.Isaac newton.
Ipo hivi;tuangalie Mfano rahisi wa Jua na Mwezi.
Kwa mtazamo wa Newton,kila kitu chenye tungamo/Mass huvutana na kingine.Ni kama ncha mbili za sumaku N na S zinavyovutana,na kitu chenye uzito mkumbwa ndiyo huwa na Kani kubwa ya uvutano.

Mfano,Dunia ina tungamo kubwa kuliko mwezi,kwahiyo ina kani kubwa sana Ambayo inaweza kuuvuta Mwezi kama vile jiwe linavyovutwa na Dunia

Lakini Mwezi hauanguki kwasababu Moja;
Mwezi una Angular velocity kubwa ambayo inatosha kabisa kubalance Gravitational Force ya Dunia.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh

Nyie Mna vituko sana.kila kitu Mungu?Duh

Hata watu kama nyie mna vituko sana.

Hivi nikikuuliza kabla ya wachunguzi (wanasayansi)kufanya uvhunguzi wao na kuyapa majina matokeo ya huo uchunguzi, ulimwengu na vilovyomo vilivyomo vilikuwa vinaitwaje???
 
Tambua kwamba hakuna chini kwenye universe...zinaelea kwa sababu Kuna mvutano Baina Yao.
 
Mkuu K 4 LIFE kuna Nadharia Mbili katika Fizikia ambazo zinaweza kujibu swali lako;
Ya kwanza ni nadharia ya UHUSIANIFU au General RelativityyaAlbert Einstein Au Gravitational ya Newton.

For sake of simplicity,nitatumia ya Sir.Isaac newton.
Ipo hivi;tuangalie Mfano rahisi wa Jua na Mwezi.
Kwa mtazamo wa Newton,kila kitu chenye tungamo/Mass huvutana na kingine.Ni kama ncha mbili za sumaku N na S zinavyovutana,na kitu chenye uzito mkumbwa ndiyo huwa na Kani kubwa ya uvutano.

Mfano,Dunia ina tungamo kubwa kuliko mwezi,kwahiyo ina kani kubwa sana Ambayo inaweza kuuvuta Mwezi kama vile jiwe linavyovutwa na Dunia

Lakini Mwezi hauanguki kwasababu Moja;
Mwezi una Angular velocity kubwa ambayo inatosha kabisa kubalance Gravitational Force ya Dunia.

Haya yote yamekuwaje hivyo?

Yaani imetokeaje tokeaje ikawa hivyo?
 
Hapo ndio ujue kuna one supreme being that's GOD the master of the people and the universe.

Anajaribu kuproves uweza wake tu Baba yangu huyu mtukufu..Adonai, Allah, jehova,

Kwa hiyo huyo Mungu anarule dunia tu au sayari zote
 
Hata watu kama nyie mna vituko sana.

Hivi nikikuuliza kabla ya wachunguzi (wanasayansi)kufanya uvhunguzi wao na kuyapa majina matokeo ya huo uchunguzi, ulimwengu na vilovyomo vilivyomo vilikuwa vinaitwaje???

uvhunguzi?,Vilovyomo vilivyomo?
Kiswahili umejifunzia wapi Mkuu?

Halafu swali lako halieleweki,Unataka nini kwani?
 
Kila kitu ulichotaja hapo juu kinaelea angali sababu kila kitu kinamvuta mwenzake, chenye mass(kg) kubwa kinavuta zaidi chenye mass(kg) ndogo. Sasa utauliza kwa nini vinavutana lakini havigongani, sababu ni nyingi, sayari zote zinavutwa na jua, lakini zinazunguka jua kwa spidi kubwa kwa hiyo zinacounterbalance, mwezi unazunguka dunia kwa speed kubwa ambayo inatosha pia ku-counterbalance nguvu inayouvuta karibu.

Kama haija-make sense inakuaje kitu kikizunguka kwa kasi kinacounter balance em angalia hii picha hapa chini
attachment.php

Hilo gari likishuka kwa spidi kubwa, litaweza kuzunguka hiyo round kwa ndani bila kuanguka na likapitiliza hadi upande wa pili, lakini likishuka kwa spidi ndogo basi halitoweza kuzunguka litaanguka. Concept kama hiyo.

Kuhusu kuona nyota na mwezi wakati wa usiku peke yake ni kitu simple tu, dunia inajizungusha kwenye mhimili wake, upande ambao unakua hautazamani na jua moja kwa moja ndo inakua usiku, kwa kua mwanga wa jua haufiki basi nyota na mwezi utaviona. Hata mchana hua nyota zinatoa mwanga lakini huzioni mchana sababu mwanga wa jua ni mkali kuliko unaotoka kwenye nyota.. Chukua tochi mchana, mwambia mtu asimame 50M kutoka kwako, ile tochi mwanga wake hutouona sababu mwanga wa jua umezidi, ila usiku utauona.. Hili jambo hata mtoto mdogo anaweza kukuelezea.
 

Attachments

  • centripetal force.jpg
    centripetal force.jpg
    5.9 KB · Views: 1,481
Back
Top Bottom