Kwanini Jumaa Aweso anaonekana kukubalika zaidi?

Umwagiliaji iko kilimo labda wasiliana na Bashe
 
Keshazijua Passwords za Mama Kurembua.
 
Sidhani kama uko sahihi unayo rekodi ya hali ya upatikanaji maji vijijini ulivyo kwa sasa kupitia miradi ya RUWASA ukilinganisha na miaka ya nyuma unless kama una tatizo binafsi na aweso

Awesome umeanza kujisifia. Unautaka urais.
 
Mimi nadhani kinachombeba Aweso ni kwa sababu ni Mtoto wa Mama Ntilie na hakutokana na mfumo wa kutumia jina la Baba au Babu kwenye uongozi ndio maana anajitahidi kutekeleza majukumu yake vizuri ndio maana hata bungeni huoni akizozana na wabunge

Aweso hakubaliki popote basi tu. Pamoja na Makamba kuboronga lakini ana state appeal kuliko Aweso.
 

Aweso umeanza kujipigia kampeni. Tatizo unafanya kazi kwa kujitangaza ili ugombee urais. Ridhika na cheo ulichonacho urais uwe ni majaliwa ya mola.
 
Anafanya kazi zinaonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…