Wizara ya maji haina ugumu wowote kama kuna bajeti, ukishakua na bajeti kinachobaki ni usimamizi tu ambao mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kufanya.
Hakuna mambo yoyote ya ajabu kutoka kwenye wizara ya maji ambayo yashafanyika tangu yeye awe Waziri. Tungemuona wa maana sana kama angegusa kwenye eneo la umwagiliaji ambalo kwa kiasi kikubwa limesahaulika sana.
Inawezekana pengine Awesso akawa ni kiongozi bora lakini hii wizara aliyopo haiwezi kuwa mizani nzuri ya kupima ubora wake.
Zingine zilizobaki ni ngojera tu