LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Najiuliza nashindwa kupata jibu, kwanini President Juvenal Habyarimana alilazimisha kurudi i Kigali licha ya kupewa taarifa za ki intelijensia juu ya uwezekano wa kutokea hatari ? Taarifa zinasema kuwa kabla hajapanda ndege kutoka Dar to Kigali , alikuwa alerted asipande ndege siku hiyo lakini yeye akaamua kupanda ndege siku hiyo...Kulikuwa na ulazima gani wa yeye kwenda Kigali siku hiyo hiyo?