Kwanini Juvenal Habyarimana alilazimisha kurudi Kigali licha ya taarifa za kiintelijensia

Kwanini Juvenal Habyarimana alilazimisha kurudi Kigali licha ya taarifa za kiintelijensia

Dah ni mimi sijakuelewa au ? "Alikuwa alerted asipande ndege siku hiyo lakini yeye akaamua kupanda ndege siku hiyo "

Sasa kama alipewa taarifa asipande ndege halafu mwenyewe akalazimisha apande wa kulaumiwa hapa ni nani kama sio yeye ?

Kuna watu wana hulka za ajabu wanaona kila wakisemacho wao ndio wako sawa kwa mfano kuna bwana yule alienda na motorcade yake mpaka Kigali ,tuseme angapewa taarifa labda wana wasiwasi apande ndege unafikiri kwa kujua sana kwake angepanda ?

Au pengine alilazimishwa na hakawa hana option nyingine labda miaka 30 ijayo ukweli utawekwa wazi
 
Cha Kushangaza Ni kumshawishi Rais wa mpito wa Burundi Hayati Cyprien Ntayamirwa kuondoka nae kwenye Ndege yake.
Cha kistaajabisha Familia ya Marehemu Ntayamirwa ilipoenda kudai Bima ya kifo cha Mpendwa wao Ilinyimwa kwa kuwa Hapakuwa na jina la Hayati Cyprien kwenye Manifesto ya Abiria waliokuwemo kwenye Ndege ya General Juvenal Habyarimana ambaye inasadikika Alimaliziwa Akiwa anajikokota kuelekea Nje ya Runway ya Airport ya Chigali
Inawezekana Habyarimana alihisi kutokea kwa hatari so alimtumia Cyprian Ntayamirwa kama Human shield inawezekana aliamini adui zake wasingemtungua kwa sababu alikuwa na Rais wa Burundi on board
 
Ukweli ni kwamba, Rais Habyarimana hakutaka kabisa kwendaRwanda, aliyemlazimisha ni Mwalimu Nyerere ,yapo mambo mengi yalitokea Siku hiyo siwezi kuyaweka hapa yote Kwa Sababu maalumu.
ila ni mazito Sana, tuyaache tu. Nikiyawekea thread yake hapa mods watafuta.
nimependezwa post yako juu ya vita vya ruanda na burundi
 
Najiuliza nashindwa kupata jibu, kwanini President Juvenal Habyarimana alilazimisha kurudi i Kigali licha ya kupewa taarifa za ki intelijensia juu ya uwezekano wa kutokea hatari ? Taarifa zinasema kuwa kabla hajapanda ndege kutoka Dar to Kigali , alikuwa alerted asipande ndege siku hiyo lakini yeye akaamua kupanda ndege siku hiyo...Kulikuwa na ulazima gani wa yeye kwenda Kigali siku hiyo hiyo?
Kama ni kweli haya uyanenayo basi ilikuwa sikio la kufa................................
 
  • Thanks
Reactions: Ctr
Ukweli ni kwamba, Rais Habyarimana hakutaka kabisa kwendaRwanda, aliyemlazimisha ni Mwalimu Nyerere ,yapo mambo mengi yalitokea Siku hiyo siwezi kuyaweka hapa yote Kwa Sababu maalumu.
ila ni mazito Sana, tuyaache tu. Nikiyawekea thread yake hapa mods watafuta.
We jamaa..
 
Back
Top Bottom