Ukweli ni kwamba, Rais Habyarimana hakutaka kabisa kwendaRwanda, aliyemlazimisha ni Mwalimu Nyerere ,yapo mambo mengi yalitokea Siku hiyo siwezi kuyaweka hapa yote Kwa Sababu maalumu.
ila ni mazito Sana, tuyaache tu. Nikiyawekea thread yake hapa mods watafuta.