mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
You are not Tanzanian. Nina majina kama kumi ya jf members ambao nawafahamu kama wanyarwanda humu na wewe ukiwa ktk list.
Ni mnyarwanda lakini anajificha ktk kivuli cha wa Tz na kupitisha ajenda yake
kagame ni mwizi mkubwa ...bepari linalo changia kuifanya Congo ishindwe kuwa mahala salama pakuishi ....so tukiwa wapenda haki tunaanzaje kumpenda mtu kama huyoNimepitia threads nyingi Sana na comments za watu zinazomhusu Paul kagàme, nimesikitika Sana kwa njisi ambavyo watu hawamupendi kagàme , ninaomba tufanye uchunguzi na comments bila chuki binafsi
Angalieni , katika inchi za Afrika au duniani kote , Ni raisi gani amefanikiwa katika kuiletea maendeleo inchi yake ?
Amewaunganisha wanyarwanda wote , makabira ya Rwanda yote ni wamoja na wanampenda Sana kagàme , hiii Ni kupitia kampeni yake iliyoitwa SOTE NI WANYARWANDA.. na Sasa umoja na mshikamano vinaonekana
Amaefanikisha kumaliza rushwa katika inchi yake , ambapo inchi nyingine zimeshindwa kabisa ..
Elimu Ni Bora kuliko inchi yoyote , mfano kila mtoto ana laptop yake , pia kuonesha ubora wake wa elimu , Tanzania imeazima wataalamu wa IT kutoka rwanda
Anatengeneza ndege zisizotumia rubani maalufu Kama DRONES , na ndizo zinatumika kusambaza madawa inchini
Amewagawia wanyarwanda Ngombe na kuwajengea nyumba nzuri
Ameitangaza rwanda kupitia timu ya kubwa ya England ya ARSENAL kupitia VISIT RWANDA, Leo kila mtu duniani anaulizia RWANDA , watalii wanaongezeka kila kukicha ((nitawaletea takwimu )
Kwakweli Mimi siyo mnyarwanda ila nimependa uongozi wa huyu mjeshi , Ni uongozi unaotakiwa kuigwa na watawala wengine , na tukipata kiongozi wa hivi hata akitawala milele ni sawa tu ..
Angalia Burundi , imepitia matatizo sawa na RWANDA , lakin kimaendeleo na usalama bado iko nyuma Sana , hii Ni kwasababu ya kiongozi mubovu
Nawaomba watanzania wenzangu , tuache chuki binafsi juu ya Paul Kagàme , acha achape kazi kwa ajili ya watu wake ,
Anawaoenda watu wake na watu wake wanampenda Sana , Ni wachahe Sana mainterahamwe ndio hawampendi ,
Kiongozi Bora hawezi kukaa kimya akiona watu wake wanauawa , Ni kiongozi mpumbavu Sana anayeweza kuona watu wake wananyanyaswa na akakaa kimya ..!!
KAGAME ni kiongozi wa watu , na ingewezekana tungefanya awe rais wa Afrika ,
Acheni chuki za kipuuzi
Mna propaganda za kijinga sana,him a empire mtabaki nayo kwenu huko huko ,nyamba**There is thin line between hate and love, most of kagame haters are loosers and genocide perpetrators
Kwani wewe unaridhika na rais wetu wa sasa? Hata marekani kuna wengi hawampendi Trump lakini mambo yanakwenda.Mnyarwanda gani anaridhika na kagame, Kama hujawahi kufika Kigali kaa kimya mkuu, wale watu wanaishi Kama wako Utumwani, kumzungumzia kagame kwa zuri au Baya Ni kujipalia makaa ya Moto muda wowote unakula risasi hadharani...
Usipende kujidhalilisha na kuidhalilisha nchi yako mbele ya kanchi ka ajabu kama Rwanda kwa sababu ya cheap politics.Waulize wakongo wakwambie mabaya yake manake umeandika porojo nyingi sana za pauka pakawa. Wazungu pia wanajua Tanzania ni nchi yenye amani, raia wake waaminifu, wakarimu, wanapendana, hawana chuki..bla bla...Njoo Tz uone! Kagame hakusikika sana midomoni mwetu miaka ya nyuma na watu wengi hatukutaka kuju ishue zake. Alipo tuekea huyu mnyarwanda wake atuongoze ndio chuki ikaanza, mwambie amchukue huyu mnyarwanda wake ampe hata uenyekiti wa mtaa huko kigali.
Wewe si Mtanzania.Mbona Burundi Ina saiz Kama ya Rwanda lakin bado wako nyuma ,
Alafu mkuu , inchi yetu ya tz kwa ukubwa wake na rasrimali zake zote tulizonazo , kimaendeleo ilitakiwa tuwe Kama marekani
Wanyarwanda munapenda kujisifia, lakini maskini wa kutupwa na watu dhaifu sana.Kweli kabisa , hizi Ni chuki tu binafsi na wivu uliopitiliza , nashangaa sioni wakimutukana Nkurunziza au kumukosoa kwa Mambo yake , why always kagàme and rwanda ?
Waiache Rwanda , wao mbona hawaiongelei tz Kama ss tunavyoiongelea ??
Kijiji gani?Wa tanzania, hiko kiswahili tu , nimekulia kijijini
Muone huyu mtutsi.Utatoweka kwanza wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hiki Kiswahili ni fasaha kweli kweli.Kiswahili tumejifunza ukubwani , tumekulia kijijini huko ambapo tulikuwa tunaongea kiluga Cya kabira letu , ukionekana unaongea kiswahili watu wanakuokopa Sana
Na wewe ni walewale.Huyu jamaa ni myarwanda tena ni mtusi.
Kiswahili sio cha mtanzania wala mkenya.
Kagame namkubali sana tena sana ila kuna mambo hapo yameongezwa chumvi na mleta mada.
Kagame ni mtu wa maendeleo na ni mdau mzuri wa kutekeleza masuala ya uhuru wa biashara na ajira kwa wakazi wa nchi zote za EAC.
Nakumbuka kipindi cha mwisho cha JK Rwanda walikuwa wanatoa ufadhili wa elimu ya masters na kuendelea kwenye mambo ya ICT kupitia tawi la chuo kikuu cha kimarekani kinachoitwa The Carnigie Melon University lililopo Rwanda.
Ufadhili zaidi ya $10,000 kwa mwanafunzi yeyote toka nchi za EAC, fedha hizo ni toka serikali ya Rwanda au tuseme walipa kodi wa Rwanda.
Raisi gani EAC aliwahi kufanya utu na undugu kama huo? Labda mzee Nyerere (R.I.P), nasema tena labda..
Kipindi hicho hicho mwana EAC yeyote mwenye sifa alikuwa anaruhusiwa kufanya kazi Rwanda bila usumbufu kama Mnyarwanda tu.
Chuki zingine dhidi ya Kagame ni za kupandikizwa na watu wanaodhania kushindwa kwao kisiasa au kiuchumi ni sababu ya Rwanda hasa Kagame.
Mujini=MjiniAcha kutumia neno cocroach , pumbavu kabisa ,
Suala la lugha siyo kigezo Cha kuniita mkimbizi , wengine hatujazaliwa mujini
Huyu jamaa sio Mtz aisee,angalia kiswahili chake anachoandika na anakwepa sana kusema yeye ni Mtanzania wa wa wapi???Wewe mtanzania wa wapi?
Dar usiilinganishe na uharo unaoitwa Rwanda.Rwanda ni sawa na Dar hata kama ukipewa ww unaweza kuleta maendeleo. Usilinganishe Rwanda na Tanzania