Kwanini Kagame anachukiwa sana humu JF?

njia ya kupitisha madini upande wa mashariki imezibwa na nani na kwanini?
 

Kwa lugha hii tunajua kabisa wewe sio wa hapa....umetumwa na watu wako
 
kwa hichi kiswahil we co mtz
 
Hiyo genocide hakuifanya yeye , waliifanya FDLR yaàni mainterahamwe , hivi inaingia akikini yeye aue kabira lake Kweli ??

Hào Ni wafaransa na wabelgiji wanamchafua tu[/QQUOTE
ni vema ikathibitike mahakamani
 
Wee mhamiaji tu, Wala huwezi kwepa, Mana unamtetea kwa juhudi zote.
Kia's jwanba Kila anayesoma uzi huu anakuona walewale tu.
 
Kagame ana madhaifu mabaya sana yafuatayo

1. Ni Mkabila sana, bado ana elementi za kujiona Mesiah wa Watutsi kuliko anavyojiona kuwa Raisi wa Rwanda iliyoungana ambayo Mhutu na Mtutsi kuwa na haki sawa ndiyo maana hataki kusikia kuwa kulikuwa na Wahutu Innocent kabisa waliouawa na Watutsi!

2. Kagame anaamini Wahutu ndiyo walioua Watutsi na kwamba Watutsi ni innocent in every sense, ndiyo maana anapambana UN ili Genocide isomeke kuwa ni Genocide against Tutsi, lakini kwa kufanya hivyo hajui kuwa anakiri yeye mwenyewe kuwa yeye ni raisi wa Wauaji, kwa sababu wale anaowatawala almost 80% ya population ya nchi nzima ni haohao aliokwenda kuwashitaki UN ili wahesabike na jumuia ya kimataifa kuwa ni Wauaji dhidi ya wachache wale 20%. Ujinga wa move hii ni kwamba indirectly analitangaza Taifa la Rwanda kama Taifa la Wauaji na kwamba litambulike na ulimwengu as such milele na milele, maana ukishutumu 80% ya population yako kuwa ni genociders basi ujielewei wewe!

3. Kagame ni power Monger na Katili, amewadili watu wengi sana ndani na nje ya Rwanda ili tu yeye aconsolidate power, hii ni hatari kwa mustakbali wa rwanda.

4. Kagame anapendelea Watutsi, kwa mfano wanafunzi wengi wa Kinyarwanda wanaopewa scholarship nje ya nchi na serikali ya rwanda wengi ni Watutsi, Wahutu wanaopewa ni wachache mno!.

Kagame alipaswa awe mwenye kuponya Majeraha ya pande zote huku akiweka ukweli in perspective, Ni kweli waliuawa Watutsi wengi sana, lakini pia kuna Wahutu waliuawa pia ikiwemo maelfu ya waahutu walioshambuliwa na Vikosi vya RPF na kuuawa kwenye makambi ya Wakimbizi walipokuwa wamekimbilia
 
Lazima aandamwe. Hii jamii forum ni ya wabongo kwa asilimia kubwa. sasa alipomtunishia kikwete vi misuri njaa lazima wabongo wammaindi sana. Na kama anaona magu ni mshikaji amzengue kidogo tu. ndo atajua jinsi TZ alivyo kiranja wa afrika mashariki na kati
 
ahahahahhaa kweli kabisa mkuu.
 
Pumba kabisa hizi , hakuna point hata moja ,

Unaweza kuketa ushahidi wowote juu ya uliyoyaandika
 
Wadau wa humu jf ,l
Nashukuru wote kwa jinsi mlivyichangia ,
Nimeona wengi bado mna chuki na kagàme ,
Nawaomba tuondoe chuki binafsi , tuongee uhalisia wa mtu ,
Binafsi namkubali Sana kagàme , hata rais wangu magufuli pia namkubali Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…