Kwanini Kagame anachukiwa sana humu JF?

.....Amahoro, Uli umugenzi poti! Kagàme ali mubhi.
 
Mi mtz wa dodoma
Mbona watz wahamiaji wapo wengi sana, naww mmoja wapo.

Dalili nyingi zinaonesha wewe ni mzalendo wa Rwanda, nasi tunakukaribisha utupeleleze.

Mana hamna shukrani, mnasoma kwa fedha za waTZ kwa mwamvuli wa uTZ, kisha mnahujumu nchi iliyowafadhili.

Nyie tafuteni riziki katika ardhi ya TZ, mle mnywe kisha mje kujamba hapa Jamii forum, mana hamuweki uzi wa kutatua matatizo katika Jamii ya waTZ isipokuwa ni kuponda TZ na kumsifia PK na Rwanda.

Yupo ndugu yako mmoja magazeti yalimtoa alitoroka jeshini na nahisi ni baada ya kugundulika Kama ni mwanachama wa Shirika la Wambea Rwanda (SHILAWARWA).
 
Kumbe PK ni mfalme! Yani ni mpaka kifo kimkute.
Inategemea wanyarwanda wenyewe wanamuonaje , kama wataamua akae milele ni wao ,
Ila kwa jinsi anavyofanya kazi , mi nashauri akae milele
 
Mmh Rwanda yenyewe arusha kubwa nawashangaa mnavojitutumua humu mjulikane.poleni
 
Joseph Goebbles katika ubora wako : he was warship Hitler like God
 
Mmh Rwanda yenyewe arusha kubwa nawashangaa mnavojitutumua humu mjulikane.poleni
Nashangaa sasahivi kila mtu anataka kuwa mnyarwanda , wakati rwanda yenyewe ndogo Kama Arusha
 
yule dada alietaka urais anazungumziaje hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…