Nunc dimittis
JF-Expert Member
- Oct 19, 2018
- 1,142
- 777
Sasa we kule halafu huju!!!!!???????south na rwanda hawana uhusiano wa kibalozi au walitimua balozi aliyekuwepo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa we kule halafu huju!!!!!???????south na rwanda hawana uhusiano wa kibalozi au walitimua balozi aliyekuwepo ?
mimi sio wa huko bhanaSasa we kule halafu huju!!!!!???????
Rwanda has hutu tutsi and batwaEti kagame kamaliza tofauti za kikabila! Wakati Rwanda ina kabila moja tu la kinyarwanda. Watutsi na wahutu ni koo za kabila moja.
Watutsi, Wahutu na Twa, wale mbilikimo japo wote wanaongea lugha moja tu kinyarwandaEti kagame kamaliza tofauti za kikabila! Wakati Rwanda ina kabila moja tu la kinyarwanda. Watutsi na wahutu ni koo za kabila moja.
Kagame is overrated by a group of state sponsored "spinners" and a few sycophants like our own Musiba in Tz. nothing else! otherwise he is a paranoid tyranyt like many others in Africa.Kagame is overated I don't know why?
Slim alitoa roho Prof Mwaikusa , Mtikila yaani Mh wa sasa angekubado JK au Bernard saa izi ningekua Kigali ,Rwanda ikiwa tayari mkoa wa TzWe mnyarwanda tu lasivyo huwezi anzisha uzi wa kumsifia PAKA hapa kirahirahisi hivyo.
R.I.P Rev Mtikila,Prof Jwani and others.
Mahoro ni neno la kinyarwa lkimaanisha '' amani " kama mzaramo nyosha kidoleWa tanzania, hiko kiswahili tu , nimekulia kijijini
Mahoro ndio Amahoro? OK najuaga amahoro ndio humaanisha AmanMahoro ni neno la kinyarwa lkimaanisha '' amani " kama mzaramo nyosha kidole
Unajua lkn Huyo Mtikila alisema serikali ndio imeua rafiki yake Prof. Mwaikusa?Habari kamili hii hapa.Slim alitoa roho Prof Mwaikusa , Mtikila yaani Mh wa sasa angekubado JK au Bernard saa izi ningekua Kigali ,Rwanda ikiwa tayari mkoa wa Tz
Haiwezekani, na naungana na weweWewe ni Mtanzania wa wapi!!??
Huyo Kagame ni mwuaji! Mshtakiwa namba 1 katika mauaji ya kimbari 1994!!
Ameua wapinzani wake akina Karegeya SA. Ndo mvurugaji mkubwa wa mani DRC na Burundi!! Amejitahidi sana kuleta chokochoko na Tanzania na dawa yake ipo inapata kaubaridi frijini!
shiiit...Kiswahili tumejifunza ukubwani , tumekulia kijijini huko ambapo tulikuwa tunaongea kiluga Cya kabira letu , ukionekana unaongea kiswahili watu wanakuokopa Sana
kagame ni matako tu,ana nini cha ajabu..!!now kila mtu anawaza uchumi
swala la tz kumpiga slim sio jepesi kihivyo mtaumia saana
hahaaaaa mkuu hapa mi mwenyewe nimepatwa na mshangao,niliposoma eti Rwanda ina maendeleo...Rwanda hii nayoijua mimi,au kuna rwanda nyingine!Nilipofika Kigali nilimdharau sana Kagame na kuwashangaa watanzania kwa kutojivunia nchi yenye Maziwa na Asali tuliyojaaliwa.
Kifupi; Kigali bado sana kwa kila namna labda kidogo usafi. Hizo story tunazodanganyana huku kwetu kuhusu Rwanda na Kagame ni propaganda tu za wanyarwanda na tabia yao ya kujivunia chao lkn kiuhalisia wana maisha magumu mno.