Kwanini Kagame anachukiwa sana humu JF?

shiiit...
fanya mpango urudi kwenu,tumewasaidia vya kutosha mmeanza kuleta dharau..
Mi kwetu ni hapa hapa tz, mbona Kuna wahindi nao wanajiita watz , Anza kwanza na hao ndio uje kwangub
 
Jamani mnalumbana nini kwawalio fika Rwanda wanawashanga Rwanda ina nini kilomita tano kutoka mji wa Kigali kuna watu wanaishi maisha ya ajabu.Pili asije kukudanganya mtuu eti Rwanda kuna haki sawa Kati ya wahutu na watutsi hakuna kitu kama icho sehemu nyeti zote niwa tutsi wanatawala sehemu ambazo hazina umuhimu ndo wamewekwa wahutu.Tatu kagame atapata amani mpaka aje kufariki Gen.kayumba nyamwasa ndomtu anaemuumiza kichwa.Nne nikosa sana kuifanisha Tz na rwanda kijeshi Tanzania ifanishe na Kenya.mwisho Rwanda ni bomu mda wowote linalipuka.
 
kagame ni matako tu,ana nini cha ajabu..!!
hadi leo hii Mr pencil hataki hata kulisikia tu jina la mkwere,alimfanyia kitu mbaya akawa anaishi ka digidigi..
tunajua mashushushu wa kagame mpo wengi Tanzania hii lakini tuna-deal na nyinyi kimyakimya..
Tz huruma nyingi mnakamata malutenant wa slim mnawapeleka mahakamani kama sio ubwege huo
 
Kagame anajinasibu kua yeye ndye mwanaume pekee Rwanda mwenye maono makubwa na hakuna mwngine anayeweza tawala taifa lile ndyo maana katba yao inamruhusu small atawale milele akiwa mzima au mfu , sasa nashanga ma spy wake kina '' amahoro" hawatak kurudi wakamtoe paka a.k.a kagume
 
Kwa namna anavowadhibiti wapinzani wake unategemea wampende?
Akina Rwigara, Ingabire and the so unategemea wampende?
 
Na Forbes Magazine imemtangaza Kagame kua "Winner of the African of the Year Award by the All Africa Business Leaders Award".

Anatumika na mabeberu huyu.,hahah.
 
Mi naombea sentensi yako iwe kweli nikapige mercenary kule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Forbes Magazine imemtangaza Kagame kua "Winner of the African of the Year Award by the All Africa Business Leaders Award".

Anatumika na mabeberu huyu.,hahah.
Hivyohivyo si unaona Sasa wanatumia kiingereza badala ya kifaransa! Huyu yuko pale kwa maslahi ya mabeberu tu
Nalog off
 
Hakuna anayemchukia Kagame ila tunachukia kilichoko ndani yake, yeye anawaza kuua, kuteka,kuiba,uchawi na tabia zote za shetani maana bora ukutane na shetani mwenyewe kuliko kukutana na Kagame. Ila sijidhanie ataishi milele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…