Achana na hao FDLR. Kagame ni rais bora Afrika kwa sasa.
Hao FDLR wana ham ya kufanya mauaji mengine ya kimbari lakini hawatapata nafasi. Viva Rwanda.[/QUOTE
Kabisa mkuu, hao wanaomchujia kagàme Ni interahamwe
Kama anaiba kwa ajili ya inchi yake , huyo ni shujaa,Kagame anaiba wanyamapori wetu anapeleka kwenye mbuga ya akagera ya Rwanda
Siyo kirahisi mkuuAlimtishia kumuua rais wetu kipenzi Mh Dkt J. Kikwete,
Tungesambaratisha hako ka kitongoji kote! mbafu zake
Atakuwa Wa Kazilamihundawewe ni mtanzania wa wapi?
Hiyo genocide hakuifanya yeye , waliifanya FDLR yaàni mainterahamwe , hivi inaingia akikini yeye aue kabira lake Kweli ??Nimekubali kweli Paul wawanyarwanda amefanya kitu kubwa kwa nchi yake, lakini usisahau na vitu aliyewafanyia yile miaka ya 90.
kwa mfano, mimi simpendi kwa sababu alikua anafanya genocide ya 94.
chochote atawafanyia, ni kizuli kwa mda wa sasa akibaki kicwani kwa serikali ya rwanda, nathani kwamba akibadilishwa mwaka mmoja atarudi na kauli yake ya 1994.
Mtoa mada kichaa kweli wewe
Makamanda wameshabadilisha gia angani. Hapa walikuwa wanamsifia ile mbaya.Kama anaiba kwa ajili ya inchi yake , huyo ni shujaa,
Na Hadi anaiba , tz iko wapi , inamaana bado tumelala
Nawaomba watanzania wenzangu , tuache chuki binafsi juu ya Paul Kagàme , acha achape kazi kwa ajili ya watu wake ,
Mkuu napenda uandishi wako, unatusihi tuache chuki na tumpende PK na hapo hapo unatuona sisi "wapuuzi" (afanyae vitu vya kipuuzi ni mpuuzi). Sijui kama "wapuuzi" hawa watakuelewa.Acheni chuki za kipuuzi
Bila shaka we ni miongoni mwa waliopenyezwa kwa hiyo unafanya kazi yako uliyotumwa na babako ya kumtetea! Hitler alikuwa dikteta na alikuwa anapendwa lkn majirani zake walikuwa hawamtaki. kagame amekuwa hitler mpya anachonganisha huku na huku, DRC yupo na ADF na burundi pia analaumiwa huyo huyo na tayari kesha piga hodi kwetu. Au furaha yako ni kuona tunakuwa kama congo? Mwambie aache na wewe uache mara moja njama zako zimejulikana.Nimepitia threads nyingi Sana na comments za watu zinazomhusu Paul kagàme, nimesikitika Sana kwa njisi ambavyo watu hawamupendi kagàme , ninaomba tufanye uchunguzi na comments bila chuki binafsi
Angalieni , katika inchi za Afrika au duniani kote , Ni raisi gani amefanikiwa katika kuiletea maendeleo inchi yake ?
Amewaunganisha wanyarwanda wote , makabira ya Rwanda yote ni wamoja na wanampenda Sana kagàme , hiii Ni kupitia kampeni yake iliyoitwa SOTE NI WANYARWANDA.. na Sasa umoja na mshikamano vinaonekana
Amaefanikisha kumaliza rushwa katika inchi yake , ambapo inchi nyingine zimeshindwa kabisa ..
Elimu Ni Bora kuliko inchi yoyote , mfano kila mtoto ana laptop yake , pia kuonesha ubora wake wa elimu , Tanzania imeazima wataalamu wa IT kutoka rwanda
Anatengeneza ndege zisizotumia rubani maalufu Kama DRONES , na ndizo zinatumika kusambaza madawa inchini
Amewagawia wanyarwanda Ngombe na kuwajengea nyumba nzuri
Ameitangaza rwanda kupitia timu ya kubwa ya England ya ARSENAL kupitia VISIT RWANDA, Leo kila mtu duniani anaulizia RWANDA , watalii wanaongezeka kila kukicha ((nitawaletea takwimu )
Kwakweli Mimi siyo mnyarwanda ila nimependa uongozi wa huyu mjeshi , Ni uongozi unaotakiwa kuigwa na watawala wengine , na tukipata kiongozi wa hivi hata akitawala milele ni sawa tu ..
Angalia Burundi , imepitia matatizo sawa na RWANDA , lakin kimaendeleo na usalama bado iko nyuma Sana , hii Ni kwasababu ya kiongozi mubovu
Nawaomba watanzania wenzangu , tuache chuki binafsi juu ya Paul Kagàme , acha achape kazi kwa ajili ya watu wake ,
Anawaoenda watu wake na watu wake wanampenda Sana , Ni wachahe Sana mainterahamwe ndio hawampendi ,
Kiongozi Bora hawezi kukaa kimya akiona watu wake wanauawa , Ni kiongozi mpumbavu Sana anayeweza kuona watu wake wananyanyaswa na akakaa kimya ..!!
KAGAME ni kiongozi wa watu , na ingewezekana tungefanya awe rais wa Afrika ,
Acheni chuki za kipuuzi
Maendeleo ya rwanda linganisha na mkoa wa dar pekee nayo ipo juu sana tuu! kainchi kama wilaya bado mnalinganisha na nchi kama yetu, ni aibu kweli.Nimepitia threads nyingi Sana na comments za watu zinazomhusu Paul kagàme, nimesikitika Sana kwa njisi ambavyo watu hawamupendi kagàme , ninaomba tufanye uchunguzi na comments bila chuki binafsi
Angalieni , katika inchi za Afrika au duniani kote , Ni raisi gani amefanikiwa katika kuiletea maendeleo inchi yake ?
Amewaunganisha wanyarwanda wote , makabira ya Rwanda yote ni wamoja na wanampenda Sana kagàme , hiii Ni kupitia kampeni yake iliyoitwa SOTE NI WANYARWANDA.. na Sasa umoja na mshikamano vinaonekana
Amaefanikisha kumaliza rushwa katika inchi yake , ambapo inchi nyingine zimeshindwa kabisa ..
Elimu Ni Bora kuliko inchi yoyote , mfano kila mtoto ana laptop yake , pia kuonesha ubora wake wa elimu , Tanzania imeazima wataalamu wa IT kutoka rwanda
Anatengeneza ndege zisizotumia rubani maalufu Kama DRONES , na ndizo zinatumika kusambaza madawa inchini
Amewagawia wanyarwanda Ngombe na kuwajengea nyumba nzuri
Ameitangaza rwanda kupitia timu ya kubwa ya England ya ARSENAL kupitia VISIT RWANDA, Leo kila mtu duniani anaulizia RWANDA , watalii wanaongezeka kila kukicha ((nitawaletea takwimu )
Kwakweli Mimi siyo mnyarwanda ila nimependa uongozi wa huyu mjeshi , Ni uongozi unaotakiwa kuigwa na watawala wengine , na tukipata kiongozi wa hivi hata akitawala milele ni sawa tu ..
Angalia Burundi , imepitia matatizo sawa na RWANDA , lakin kimaendeleo na usalama bado iko nyuma Sana , hii Ni kwasababu ya kiongozi mubovu
Nawaomba watanzania wenzangu , tuache chuki binafsi juu ya Paul Kagàme , acha achape kazi kwa ajili ya watu wake ,
Anawaoenda watu wake na watu wake wanampenda Sana , Ni wachahe Sana mainterahamwe ndio hawampendi ,
Kiongozi Bora hawezi kukaa kimya akiona watu wake wanauawa , Ni kiongozi mpumbavu Sana anayeweza kuona watu wake wananyanyaswa na akakaa kimya ..!!
KAGAME ni kiongozi wa watu , na ingewezekana tungefanya awe rais wa Afrika ,
Acheni chuki za kipuuzi
wewe ni mnyaru jitambulishe kwa nchi yako sio nchi za wenzako! unataja Tanzania lakn moyo unauma.Kama anaiba kwa ajili ya inchi yake , huyo ni shujaa,
Na Hadi anaiba , tz iko wapi , inamaana bado tumelala
Wewe si mtanzania.Angalia Burundi , imepitia matatizo sawa na RWANDA , lakin kimaendeleo na usalama bado iko nyuma Sana , hii Ni kwasababu ya kiongozi mubovu