Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,920
- 8,675
Mijitu masikini ya fikra na mwili ni shida sana walahi
Wewe ni mfano mzuri wa hayo maelezo yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mijitu masikini ya fikra na mwili ni shida sana walahi
Wewe mtanzania wa wapi?
Kweli kabisa , hizi Ni chuki tu binafsi na wivu uliopitiliza , nashangaa sioni wakimutukana Nkurunziza au kumukosoa kwa Mambo yake , why always kagàme and rwanda ?
Waiache Rwanda , wao mbona hawaiongelei tz Kama ss tunavyoiongelea ??
We mnyarwanda tu lasivyo huwezi anzisha uzi wa kumsifia PAKA hapa kirahirahisi hivyo.
R.I.P Rev Mtikila,Prof Jwani and others.
Hào maadui Ni wachache Sana kuliko wanaomupenda , kumbuka ile inchi in historia mbaya Sanahuyu jamaa ni kweli kwa kiwango kikubwa anajitahidi kuwaletea wananchi wake maendeleo kwani kafikia hatua hata ya kuwapatia ng'ombe wa kisasa na mabati ya kuezekea nyumba zao ila kinachomfanya watu wamseme vibaya ni kwa sababu ya staili ya uongozi wake inamtengenezea maadui wengi
Hahaha , hapana bwanaAmahoro meza chane kumbe ni poti wake
Sijui chochote mkuu,nimemtakia tu mampumziko yenye amani huko aliko.Kwani mtikila breki nati zililegezwa au sababu speed na hakufunga mkanda
Utatoweka kwanza weweSimpendi huyu Mr Mosquito/ slim na ningependa kushuhudia mwisho wa utawala wake kama nilivyoshuhudia tawala zingine zikitoweka hapa Africa.
Hicho kijiji hakina jina?Wa tanzania, hiko kiswahili tu , nimekulia kijijini
Kiswahili tumejifunza ukubwani , tumekulia kijijini huko ambapo tulikuwa tunaongea kiluga Cya kabira letu , ukionekana unaongea kiswahili watu wanakuokopa SanaInchi-nchi
Mubaya-mbaya.
Mtutsi uliejaribu sana kujificha katika uandishi wako ila umefeli.pelekeni chuki zenu huko huko
Hata nikikitaja huwezi ukakijua , tz Kuna vijiji vingi SanaHicho kijiji hakina jina?
ukiona Hivyo ujue mhusika anakalibia ku RIPNaona leo ni thread za Kagame tu. Kulikoni?
Eti anasema "nawaomba watanzania wenzangu" na ikiwezekana awe rais wa Afrika.Kuwa mtanzania jambo rahisi sana siku hizi.Mtoa mada kichaa kweli wewe
Ukichaa wangu Ni upi Sasa , fafanuaMtoa mada kichaa kweli wewe