- Thread starter
- #81
Simple tu hivyo , utamuacha weweukiona Hivyo ujue mhusika anakalibia ku RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simple tu hivyo , utamuacha weweukiona Hivyo ujue mhusika anakalibia ku RIP
Sasa ulitaka nisemeje hapo mkuu ?Eti anasema "nawaomba watanzania wenzangu" na ikiwezekana awe rais wa Afrika.Kuwa mtanzania jambo rahisi sana siku hizi.
utavugisha ukuri msaza uli umunyarwanda igiswahire cyakunaniyeHata nikikitaja huwezi ukakijua , tz Kuna vijiji vingi Sana
*cya kabira*Kiswahili tumejifunza ukubwani , tumekulia kijijini huko ambapo tulikuwa tunaongea kiluga Cya kabira letu , ukionekana unaongea kiswahili watu wanakuokopa Sana
Lazima anagombana nao kwa sababu maalumu ,Mtu gani amegombana na majirani zake wote hebu nitajie nchi ambayo haijagombana na kagame, sasa hivi anagombana na Africa kusini
Nenda kwenyu huko bwana katetee huu ujinga,hata hapa unachapia tena.nasema hivi!wewe ni mtutsi hujifichiKiswahili tumejifunza ukubwani , tumekulia kijijini huko ambapo tulikuwa tunaongea kiluga Cya kabira letu , ukionekana unaongea kiswahili watu wanakuokopa Sana
Ahaahahhaaa, umenifurahisha Sana , nitakutafuta inboxutavugisha ukuri msaza uli umunyarwanda igiswahire kilakuha kirakunanira
Ningekuwa mtutsi ningefurahi Sana , maana ni kabira ninalolipenda SanaNenda kwenyu huko bwana katetee huu ujinga,hata hapa unachapia tena.nasema hivi!wewe ni mtutsi hujifichi
huyu ni mnyarwanda pure halafu sijui kwa nini wanyarwanda kiswahili kinawashinda hata wakikaa Tanzania .Ni tofauti kabisa na warundi,mrundi akikaa kwenye miji ya tz hamalizi mwaka bila kujua kiswahili kizuri kama unabisha nenda pale buyenzi Bujumbura kasikilize warundi wanavyokinyoosha kiswahili cha pwani kabisa*cya kabira*
Hapa ndo umethibitisha upopoma.Ningekuwa mtutsi ningefurahi Sana , maana ni kabira ninalolipenda Sana
nanje nshimiye kukubhonaAhaahahhaaa, umenifurahisha Sana , nitakutafuta inbox
Ahaahahhaaa, umenifurahisha Sana , nitakutafuta inbox
nta cyibazo msazaAhaahahhaaa, umenifurahisha Sana , nitakutafuta inbox
Ila angekuwepo sasa hivi,angekua ameshaunga mkono juhudi kitambo tu.Sijui chochote mkuu,nimemtakia tu mampumziko yenye amani huko aliko.
amaharo ni amani kwa kiswahili kwahiyo msimzingue sana huyu umukunda igihuguMtu unajiita MAHORO halafu unasema eti wewe siyo mnyarwanda...!
Umesahau hii hapa , AMEUWA NA KUFUNGA KILA MNYARWANDA ANAYEMPINGA .Nimepitia threads nyingi Sana na comments za watu zinazomhusu Paul kagàme, nimesikitika Sana kwa njisi ambavyo watu hawamupendi kagàme , ninaomba tufanye uchunguzi na comments bila chuki binafsi
Angalieni , katika inchi za Afrika au duniani kote , Ni raisi gani amefanikiwa katika kuiletea maendeleo inchi yake ?
Amewaunganisha wanyarwanda wote , makabira ya Rwanda yote ni wamoja na wanampenda Sana kagàme , hiii Ni kupitia kampeni yake iliyoitwa SOTE NI WANYARWANDA.. na Sasa umoja na mshikamano vinaonekana
Amaefanikisha kumaliza rushwa katika inchi yake , ambapo inchi nyingine zimeshindwa kabisa ..
Elimu Ni Bora kuliko inchi yoyote , mfano kila mtoto ana laptop yake , pia kuonesha ubora wake wa elimu , Tanzania imeazima wataalamu wa IT kutoka rwanda
Anatengeneza ndege zisizotumia rubani maalufu Kama DRONES , na ndizo zinatumika kusambaza madawa inchini
Amewagawia wanyarwanda Ngombe na kuwajengea nyumba nzuri
Ameitangaza rwanda kupitia timu ya kubwa ya England ya ARSENAL kupitia VISIT RWANDA, Leo kila mtu duniani anaulizia RWANDA , watalii wanaongezeka kila kukicha ((nitawaletea takwimu )
Kwakweli Mimi siyo mnyarwanda ila nimependa uongozi wa huyu mjeshi , Ni uongozi unaotakiwa kuigwa na watawala wengine , na tukipata kiongozi wa hivi hata akitawala milele ni sawa tu ..
Angalia Burundi , imepitia matatizo sawa na RWANDA , lakin kimaendeleo na usalama bado iko nyuma Sana , hii Ni kwasababu ya kiongozi mubovu
Nawaomba watanzania wenzangu , tuache chuki binafsi juu ya Paul Kagàme , acha achape kazi kwa ajili ya watu wake ,
Anawaoenda watu wake na watu wake wanampenda Sana , Ni wachahe Sana mainterahamwe ndio hawampendi ,
Kiongozi Bora hawezi kukaa kimya akiona watu wake wanauawa , Ni kiongozi mpumbavu Sana anayeweza kuona watu wake wananyanyaswa na akakaa kimya ..!!
KAGAME ni kiongozi wa watu , na ingewezekana tungefanya awe rais wa Afrika ,
Acheni chuki za kipuuzi
na huyu ni miongoni mwa viongozi wachache sana ambao uhai wao unalindwa na madaraka waliyonayo , akitoka hana hata wiki duniani .KAGAME NI MUUAJI