Kwanini kama Mzazi wa Kiume ukimkanya Binti yako Maneno ya Kisela anakutii, ila ukimkanya Kiustaarabu anakupuuza?

Kwanini kama Mzazi wa Kiume ukimkanya Binti yako Maneno ya Kisela anakutii, ila ukimkanya Kiustaarabu anakupuuza?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Tokea nimkanye Binti yangu kwa Maneno ya Kisela ( Kimjini Mjini ) kama haya yafuatayo amebadilika, ananiogopa na ananitii ile mbaya.

"Oya si unajiona umeshakua sawa Viziwa vimejitokeza na Makalio yako Kuvimba kama Maandazi ya Azam? Sasa Wewe neng'eneka tu hovyo na Wanaume Wakulale mpaka hizo sehemu zako zipoteze muelekeo Kijiografia upate Mimba na UKIMWI nikuzike. Kaa mbali kabisa na Wanaume kwani Sisi ni Waongo hakuna mfano bali Kazana na Malengo yako, kuwa Makini na huko mbele ukiwa na Maisha yako utaichezea Mihogo mpaka Kuikinai sawa Binti yangu Kipenzi?'

Rafiki yangu Yeye analalamika kuwa kila Siku anamkanya Bintiye Kiustaarabu ( Kiungwana ) kama nitakavyonukuu hapa ila ndiyo Kwanza Bintiye Kawehuka Kitabia na hashikiki.....

"Binti yangu tafadhali muogope Mwenyezi Mungu na ishi Kiimani tafadhali kwani hizi tabia zako hata Kristo na Malaika zake hawazitaki. Tumia muda wako mwingi Kusali na achana na hizi tabia za Kishetani. Nakupenda mno Binti yangu sawa? Mungu akutangulie'

Je, ni kwanini Mimi ninayemkanya Kisela amenielewa na huyu Rafiki yangu anayemkanya Kiustaarabu ndiyo Kwanza hasikilizwi na Bintiye hashikiki kwa tabia chafu na mbovu?
 
Hapo inategemea kama toto lako lina tabia za kiasha ngedere mwajuma ndala ndefu litakuelewa zaidi.
Na kwa style ya ukanyaji kama huo, usishangae toto lako sikumoja likakutega kwa kukufunulia paja mzazi uingize...!
 
Kama baba unaongea hivo na binti yako ,sipati picha maongezi ya hiyo familia mkiwa ndani....
 
Mi binti yangu nashangaa kapata wapi akili, siku hizi anamgomea mama yake kulala kitanda kimoja pamoja wakati ni binti mdogo.

Anamumbia mama yake kuwa hataki kulala kitanda kimoja na mimi. Si unajua hawa watoto wadogo huwa tunachangia kitanda wote watatu? Yaani mimi, mama yake na yeye. Mtoto kagundua kuna jambo huwa linafanyika usiku na hataki kuliona. Mzee mzima ikabidi ninunue kitanda cha pili nilale peke yangu nimuache alale na mama yake.

Kuhusu kuonya kisela yataka moyo, maana ni kama unatumia lugha ya kihuni. Kuna msela mmoja mke wake ni mzembe kuosha watoto, inabidi huyo msela awaoshe mwenyewe.

Mke akaenda kushitaki kwao kuwa huyo msela huwa anawakagua mabinti zake sehemu zao za siri wakati wa kuwaogesha, msela akaaibika. Ila wapo wazazi ambao wamejaa matusi midomoni mwao na si shida kuwatamkia watoto wao
 
Mi huwa nashangaa wale mabinti video model kwenye miziki. Utakuta binti anaonesha mahaba waziwazi, anashikwashikwa na msela fulani, mara aliwe denda, najiuliza huwa hawana baba? Yaani baba mzazi unaangalia tv binti yako anafanyiwa yale mambo unavumiliaje? Au mtoto wa kiume unaona dada yako anafanyiwa malavidavi na msela unajisikiaje? Kwa wamama haina pain sana maana wote ni wanawake tena mama anafurahia binti yake kufanyiwa yale mavituz. Hata kama ni kazi inayoingiza fedha na kufaidisha familia lakini ni fedheha kwa sisi wazazi wa kiume
 
Katika maisha haya ya sasa vijana wanatakiwa kutengeneza kizazi salama na sio kuja kuwakanya watoto wenu mkiwa tayar mlishachelewa


Kizazi salama kinaandaliwa na baba wakati wa ujana wake pale anakuwa mwema na kuacha tamaa za ngono za kula tunda kimasihara na kadhalika


Sasa kama baba ulipokuwa kijana damu inachemka ulikuwa mtu wa pombe na wanawake

Leo umekuwa baba unataka mtoto wako akusikilize ?? Labda atakusikiliza ukiwa unakunya huko chooni

Ila kama ulikuwa mtu wa tunda kimasihara enzi za ujana wako .usije ukategemea kizazi salama

Utachapiwa mpaka uache laana kwa watoto wako

Tena uchapiwa mara mbili zaidi ya ulivyokuwa unafanya wewe

Karma is real

Vijana wazinifu mshatengeneza madeni kwa watoto wenu wa kike na dada zenu

Lazima watakuja kuvuliwa nguo tena bureeeeee kabisa.

Zinaa ni deni.usipoliwa ww utalipiwa na dada zako ,watoto wako ,shangazi zako. Mama zako


Kijana jiepushe na zinaa, kamari na ulevi
 
Watoto wa kike wa miaka hii ukiwa nae serious anajua mnacheza ukimchezea ndio na yeye anakuchukulia serious.
 
Tokea nimkanye Binti yangu kwa Maneno ya Kisela ( Kimjini Mjini ) kama haya yafuatayo amebadilika, ananiogopa na ananitii ile mbaya...

"Oya si unajiona umeshakua sawa Viziwa vimejitokeza na Makalio yako Kuvimba kama Maandazi ya Azam? Sasa Wewe neng'eneka tu hovyo na Wanaume Wakulale mpaka hizo sehemu zako zipoteze muelekeo Kijiografia upate Mimba na UKIMWI nikuzike. Kaa mbali kabisa na Wanaume kwani Sisi ni Waongo hakuna mfano bali Kazana na Malengo yako, kuwa Makini na huko mbele ukiwa na Maisha yako utaichezea Mihogo mpaka Kuikinai sawa Binti yangu Kipenzi?'

Rafiki yangu Yeye analalamika kuwa kila Siku anamkanya Bintiye Kiustaarabu ( Kiungwana ) kama nitakavyonukuu hapa ila ndiyo Kwanza Bintiye Kawehuka Kitabia na hashikiki.....

"Binti yangu tafadhali muogope Mwenyezi Mungu na ishi Kiimani tafadhali kwani hizi tabia zako hata Kristo na Malaika zake hawazitaki. Tumia muda wako mwingi Kusali na achana na hizi tabia za Kishetani. Nakupenda mno Binti yangu sawa? Mungu akutangulie'

Je, ni kwanini Mimi ninayemkanya Kisela amenielewa na huyu Rafiki yangu anayemkanya Kiustaarabu ndiyo Kwanza hasikilizwi na Bintiye hashikiki kwa tabia chafu na mbovu?
Kumbe yule Ashura Matako ndio mwanao?
 
Hayo mambo hayanaga ujanja, ni kusali tu, ila akiamua yake hata uzungumze kwa lugha gani atayafanya tu na kukupotezea.
 
Back
Top Bottom