Kwanini kampeni ya kutumia nishati safi viongozi wa serikali wanagawa mitungi ya Taifa Gas tu ambayo ni Rostam Aziz?

Kwanini kampeni ya kutumia nishati safi viongozi wa serikali wanagawa mitungi ya Taifa Gas tu ambayo ni Rostam Aziz?

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Kwenye hii kampeni ya kutumia nishati safi viongozi wa serikali wanagawa mitungi ya Taifa Gas tu (kampuni ya Rostam Azizi). Je kwanini hawagawi mitungi ya O-gas, Manjis, Oryx, Lake nk? Kwanini Taifa Gas tu?

Au ndiyo kulipa fadhila za mchango aliotoa mfanyabiashara huyo kuchangia mradi wa Royal Tour ambao haukuwa na tija yoyote kwa taifa?

Soma Pia: Taifa Gas yaipa Serikali Mitungi 10,000 ya Gesi
 
Kwenye hii kampeni ya kutumia nishati safi viongozi wa serikali wanagawa mitungi ya Taifa Gas tu (kampuni ya Rostam Azizi). Je kwanini hawagawi mitungi ya O-gas, Manjis, Oryx, Lake nk? Kwanini Taifa Gas tu?

Au ndiyo kulipa fadhila za mchango wa shilingi Bilioni 7 aliotoa mfanyabiashara huyo kuchangia mradi wa Royal Tour ambao haukuwa na tija yoyote kwa taifa?
Taifa

Zingatia hilo neno Taifa.
 
Kwenye hii kampeni ya kutumia nishati safi viongozi wa serikali wanagawa mitungi ya Taifa Gas tu (kampuni ya Rostam Azizi). Je kwanini hawagawi mitungi ya O-gas, Manjis, Oryx, Lake nk? Kwanini Taifa Gas tu?

Au ndiyo kulipa fadhila za mchango wa shilingi Bilioni 7 aliotoa mfanyabiashara huyo kuchangia mradi wa Royal Tour ambao haukuwa na tija yoyote kwa taifa?
Rostam ndiyo mmiliki wa nchi kwa sasa ni project zake za kujiimalisha samia ni kibaraka wake tu hiyo ni agenda ya raia feki.kimiliki serikali na sasa wapo.katika kitu wanakiita PPP
 
Kwenye hii kampeni ya kutumia nishati safi viongozi wa serikali wanagawa mitungi ya Taifa Gas tu (kampuni ya Rostam Azizi). Je kwanini hawagawi mitungi ya O-gas, Manjis, Oryx, Lake nk? Kwanini Taifa Gas tu?

Au ndiyo kulipa fadhila za mchango aliotoa mfanyabiashara huyo kuchangia mradi wa Royal Tour ambao haukuwa na tija yoyote kwa taifa?

Soma Pia: Taifa Gas yaipa Serikali Mitungi 10,000 ya Gesi
Hiyo sio kampeni bali ni matangazo ya biashara na utafutaji masoko
 
Kama sikosei taifa gas ni kampuni ya Taifa ila rostam ana hisa zake huko, ndio maana viongozi wanagawa hiyo mitungi ya taifa
 
Kwenye hii kampeni ya kutumia nishati safi viongozi wa serikali wanagawa mitungi ya Taifa Gas tu (kampuni ya Rostam Azizi). Je kwanini hawagawi mitungi ya O-gas, Manjis, Oryx, Lake nk? Kwanini Taifa Gas tu?

Au ndiyo kulipa fadhila za mchango aliotoa mfanyabiashara huyo kuchangia mradi wa Royal Tour ambao haukuwa na tija yoyote kwa taifa?

Soma Pia: Taifa Gas yaipa Serikali Mitungi 10,000 ya Gesi
IMG-20241219-WA0021.jpg
 
nadhani mleta uzi umepotosha si taifa gas peke yake anayegawa mitungi ya gas bali oryx pia kwenye maeneo tofauti jaribu kufuatilia halafu ulete mrejesho.
 
NACHOKIELEWA NI KAMPUNI YA GESI YENYEWE NDIO INATOA OFA KUWAPA SEREKALI MITUNGI BURE WAGAWE KWA JAMII, NA LENGO KUBWA PIA NI KUTAFUTA WATEJA WAPYA PIA MAANA UKIMALIZA GESI LAZIMA UTAJAZA KWA KAMPUNI YENYE MTUNGI HUO HUO.
 
Back
Top Bottom