Uko sahihi kabisa mkuu hasa hizo sababu mbili za mwisho (6 & 7). 👊👊👊Sababu
1. Vyama vilifungiwa muda mrefu havikujitanua kupata wanachama
2, ccm hawana jipya zaidi ya ndege na reli
3. Vyombo vya habari vimefungiwa zisitoe habari za kampeni ya uchaguzi kwa upinzani
4. uoga wa maambukizi ya Corona
5 vitisho vya polisi kwa vyama
6.nec imevuruga kwa kuwakataa wagombea
7.ukata wananchi wako hoi kiuchumi
Huna haya weweWatu wamemkataa Tundu Lissu
Hata hiyo hamasa iliyojitokeza kwa muda wa wiki mbili tatu hivi ni kwa sababu ya ujio wa Tundu Lissu, bila hivyo mwaka huu ingekua baridi zaidi. Hata hivyo ubaridi wa ghafla tena umesababishwa na mwenendo wa mchakato katika kuwapitisha wagombea baada ya NEC kuendekeza enguaengua ya wagombea, wananchi wameamua kuendelea na yao kwa sababu hata hao wanaowachagua hakuna la maana wanaenda kufanya huko Bungeni. Ni bora ligi kuu ya VPL ianze na hiyo ya EPL ambazo waTanzania wanapata furaha kuliko kupoteza muda kwenye kampeni, refer SIMBA DAY na YANGA DAY. Watanzania wanapenda furaha lakini wananyimwa na NEC.Toka kuzinduliwa kwa kampeni yaan sehemu nyingi za dar Utadhani Hakuna uchaguzi mwaka huu... Story za simba na yanga ndio zimetapaa... SIJASIKIA POPOTE WATU WAKIJADILI CCM AU CHADEMA ETC..
Labda wanalitaka Tundu lakoWatu wamemkataa Tundu Lissu
Kwann mkuu?
Ha ha ha haaaaa. Mkuu umeuaWatu wakiangalia hiyo avator wanadhani ni ww, kumbe ww ni jizee fulani yale yanayovaa Madera, na ambayo hunuka jasho na mdomo.
hatoe wapi sura kama hiyoDada sura nzuri lakini roho mbaya.
Ha ha ha haaaaa. Mkuu umeua
mkuu kumbe upo si ulisema lissu anakatwa sasa mkuu njoo na lingine kwamba lissu haendi ikulu, maana maneno yako yanambariki sana lissu , na kama vipi nikuombe mkuu kachukue kadi ya chadema mkuu , nikutakie utekerezaji mwema mwana mageuzi ya kweliWatu wamemkataa Tundu Lissu
Nasikia ata vyama kujitafutia misaada ya fedha za uchaguzi nayo imepigwa piniWapinzani wanafanya siasa katika mazingira magumu sana,
1. Mazingira ya kufungiwa kwa miaka mitano mfululizo.
2. Mazingira ya kufunguliwa kufanya siasa na kupangiwa cha kuongea.
3.Mazingira ya kukosa fedha za kutosha kufacilitate movements za kampeni, Wapinzani hawana ruzuku ya kutosha kufanya kampeni kugusa miji na vijiji vyote, CCM yenyewe pamoja na ruzuku yao kubwa bado huwa haitoshi ndio maana kuna marafiki wachangia kampeni, nawashangaa wanaowanga wana CDM kwa kuomba michango.
4. Upinzani kunyimwa positive publicity katika vyombo vya habari.
5. Waunga mkono juhudi wamepunguza imani na hamasa kwa wapiga kura.
6. Siasa kuwa zakusaka vyeo na si kuwatetea wanachi.
Mambo ni mengi, ni kama vile wanachi wamesusa. Wamewaachia wasakavyeo wapambane na hali zao.
Hata Lowasa fedha zake zilipigwa pini kuingia, ziliingia awamu mbili ya tatu zikapigwa pini.Nasikia ata vyama kujitafutia misaada ya fedha za uchaguzi nayo imepigwa pini