johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kea sasa watetezi wakubwa wa akina Halima Mdee na wenzake ni wanaccm kutoka Kanda ya Ziwa.
Bado sijaelewa ni kwanini!!!
Bado sijaelewa ni kwanini!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kea sasa watetezi wakubwa wa akina Halima Mdee na wenzake ni wanaccm kutoka Kanda ya Ziwa.
Bado sijaelewa ni kwanini!!!
Ulifanya huu utafiti lini? hebu tupe sampling na snapshort tafadhari... usisahau hypothesis, methodoligies na targeted audience.Kea sasa watetezi wakubwa wa akina Halima Mdee na wenzake ni wanaccm kutoka Kanda ya Ziwa.
Bado sijaelewa ni kwanini!!!
Kwakuwa wakishiriki utesi wa chadema na wanachadema na Sasa wanaumia kuona wakipumua baada ya zile njia mbaya kuchukuwa mkondo mpya WA haki😂Kea sasa watetezi wakubwa wa akina Halima Mdee na wenzake ni wanaccm kutoka Kanda ya Ziwa.
Bado sijaelewa ni kwanini!!!
Walikuja ndio karata yakuisambaratisha chadema kumbe walibugi mbaya kumbe wanampiga. Chura teke nakumwondezea mwendo🏃Kanda ya ziwa ipi?. Halafu CCM inawateteaje akina Halima Mdee.
Je kwa nini wote wanaomsakama Sabaya na Makonda ni wanachadema?Kea sasa watetezi wakubwa wa akina Halima Mdee na wenzake ni wanaccm kutoka Kanda ya Ziwa.
Bado sijaelewa ni kwanini!!!
Halafu wanaona legacy ya mungu wao iko hatarini kuzikwa na kufutika kabisa.Sababu waliingia bungeni kwa maagizo ya mungu wao wa chato.
Source pleaseKea sasa watetezi wakubwa wa akina Halima Mdee na wenzake ni wanaccm kutoka Kanda ya Ziwa.
Bado sijaelewa ni kwanini!!!
Wamepewa rushwa na akina HalimaKea sasa watetezi wakubwa wa akina Halima Mdee na wenzake ni wanaccm kutoka Kanda ya Ziwa.
Bado sijaelewa ni kwanini!!!
CCM yote inawatetea, kwani Spika aka mama Chupaku ni mtu wa mwanza? Acha fix wewe Yohana.Kea sasa watetezi wakubwa wa akina Halima Mdee na wenzake ni wanaccm kutoka Kanda ya Ziwa.
Bado sijaelewa ni kwanini!!!
Kanda ya ziwa wanapenda haki Kama hutaki unaachaKea sasa watetezi wakubwa wa akina Halima Mdee na wenzake ni wanaccm kutoka Kanda ya Ziwa.
Bado sijaelewa ni kwanini!!!
Sababu ni kwamba wengi wao ni watoto wetu. Esther Bulaya, Esther Matiko wote kutoka mkoa wa Mara, Salome Makamba kutoka Shinyanga. Taja wengine toka Kanda ya ZiwaKea sasa watetezi wakubwa wa akina Halima Mdee na wenzake ni wanaccm kutoka Kanda ya Ziwa.
Bado sijaelewa ni kwanini!!!
Acha kutetea majambazi weweJe kwa nini wote wanaomsakama Sabaya na Makonda ni wanachadema?
Kwa sasa kuanzia mitandaoni mpaka Magazetini kote hatuoni habari za Sabaya ghafla.
Sababu kwa sasa chadema wanajitahidi kumkomoa Halima Mdee & Company.
Chama kilichojaa watu wenye kuamini katika visasi hakipaswi kupewa nafasi yoyote ya kutuongoza.
Iko siku kinaweza kutuletea mambo yasiyopendeza kwenye Dunia staarabu.
UongoKea sasa watetezi wakubwa wa akina Halima Mdee na wenzake ni wanaccm kutoka Kanda ya Ziwa.
Bado sijaelewa ni kwanini!!!