Hebu weka vizuri habari yako tukuelewe siyo wote tunaishi huko Pugu. Liko katikati ya madarasa ya nn? Madarasa yanamilikiwa na nani?kanisa liko katikati ya madarasa
Inamilikiwa na yesu kristoShule anaimiliki nani?
Kwa yesu akeeeePigaaaaaaaa keleeeeeeeeeee!!!!!
Kiukweli uzi umeandika wewe ila aibu nimeona mimi. Ila sio mbaya hivyo vipele vya tete kuwanga huwa vinawasha sana hasa msimu huu wa Jua kali jambo ambalo limekupelekea kukosa umakini kwenye mambo ya msingi.Jamani mi leo nimesali pugu catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata mojakwa moja.
Hivi ilikuwaje serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?
Serikali liangalieni hilo plz.
Wewe ulikuwa kanisani kama unavyosema kelele uliziona zinato upende upi. Na kwa kweli kelele zinaonwa? Jumapili wanafuzi hawawi darasani. Kwa kawaida wakatoliki hawasali kwa kupiga kelele.
Anyway umeshabiwa hiyo hiyo shule ilikua ya nani.
Siku nyingine jifunze kuandika vizuri.
Kelele
Uwe unasoma historiaJamani mi leo nimesali pugu catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata mojakwa moja.
Hivi ilikuwaje serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?
Serikali liangalieni hilo plz.
Sio shule zote zilikuwa za Catholic ndugu mkupuo .Mkuu wewe naona una uelewa mdogo sana wa mambo.Hata namna ulivyo andika hukueleza vizuri hivyo kuwafanya wasomaji wasikuelewe. Kama eneo unalozungumzia ni Pugu sekondari basi elewa kuwa hiyo shule ilikuwa ni milki ya kanisa Katoliki. Baadae ilitaifishwa na serikali lakini serikali haikutaifisha kanisa hivyo wakatoliki Bado wanalimiliki na kutumia kanisa hilo. Na Kwa nyongeza tu ni kuwa shule zote za sekondari za serikali zilikuwa za wakatoliki Zina makanisa ambayo serikali iliwaachia wenyewe Kwani lengo la serikali ilikuwa ni majengo mengine ili wanafunzi wa dini zote waweze kusomwa hapo.
😃😃Kama lipo kati kati ya madarasa sio mbaya ingekua limejengwa katikati ya madrasa mngeipata uzuri😂
Ninachojua ni zile zilizo kuwa Chini ya jumuiya ya kiislamu ya Africa mashariki,walikuwa na mashule na Mali nyingine.Hivi kuna shule za misikiti ambazo serikali ilitaifisha?