msela safi
Member
- Dec 23, 2022
- 11
- 7
Kweli uliishi mazingira yalee hilo ndo lango kuu la pugu boyz #unyamamwingiDOCEBIT VOS OMNIA--- He will teach you everything; The Holly Sprit
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli uliishi mazingira yalee hilo ndo lango kuu la pugu boyz #unyamamwingiDOCEBIT VOS OMNIA--- He will teach you everything; The Holly Sprit
Daaah!mapinduzi namba 3 a.k.a kariakoo ni noma muleeee kila michongo ilianzia kulee au bodaaaMapinduzi....those days...amazing...
Ulikuwa unakosa uhundoo mapinduzi ndo ilikuwa ya maborn town boss yani kila unyama kule ulikuwepo hata msakoo walikuwa wanajishauri kuja kusachi kulee ni pa motoo,,,,daaah!pugu mabeganiiMimi nilikuwa nakaa huku mjini; AZIMIO. Mapinuzi fujo sana huko; wavuta bangi walikuwepo wengi huko
Vile vile ilikuwa ni rahisi kumuona CHALWE akiwa anatoka nyumbani ili uweze ku-take cover kirahisi,,, PUGU
Kule ni mafundi wa kunyoa na majungu tyuu na wazee wa kula kwa machoo totoz zikitokea churchAzimio kwa Para boys Mkuu.....
Mjini ni Umoja tu [emoji23][emoji23]
Wengine kabla ya kuandika uzi pateni kwanza ushauri toka kwa wenye akili..!! Jua kwanza historia ya eneo husika..!! Jua nani anamiliki nini kwenye eneo hilo..!!Mimi leo nimesali Pugu Catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata moja kwa moja.
Hivi ilikuwaje Serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?
Serikali liangalieni hilo plz.
Aende Paramiho, Ndanda, Kigonsera etc akaone. Asijilalamishe tu hapaKwanini usingeenda kumuuliza baba Paroko unataka serikali iangalie nini ulienda kusali au tambua serikali ilichukua shule nyingi sana za kanisa Nenda Umbwe, wamisionari wa kikatoliki sera yao ilikua Mungu, elimu na afya ndio maana utakuta Zahanati, kanisa na Shule.
Sidhani kama wewe ni Mkatoliki tafuta kitabu cha miaka 100 ya umisionari Tanzania ujisomee utapata cha kujifunza.
Shule ilikuwa ya kanisa, walijenga wenyewe wamisionari, hawakutegema kama iko siku serikali itaitaifisha. Hivyo hiyo serikali unayotaka iliangalie hilo suala, haina cha kufanya, pengine ni kuhakikisha shughuli za kanisa haziingiliani na shughuli za ufundishaji, kama unavyodai kelele.Mimi leo nimesali Pugu Catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata moja kwa moja.
Hivi ilikuwaje Serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?
Serikali liangalieni hilo plz.