balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Minaki ya Anglicana,Mazengo ambayo Leo ni St.Johns university nayo AnglikanaSio shule zote zilikuwa za Catholic ndugu mkupuo .
Mazengo Complex ilikuwa ni ya Anglican.
Msalato Girls ilikuwa ni Anglican.
Lumumba primary DSM vipi Kuna msikiti.Hivi kuna shule za misikiti ambazo serikali ilitaifisha?
Nimesoma pale a level, kanisa halipo katikati ya madarasa, lipo pembeni kabisaMimi leo nimesali Pugu Catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata moja kwa moja.
Hivi ilikuwaje Serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?
Serikali liangalieni hilo plz.
wavaa kobaz watataHivi kuna shule za misikiti ambazo serikali ilitaifisha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama lipo kati kati ya madarasa sio mbaya ingekua limejengwa katikati ya madrasa mngeipata uzuri[emoji23]
unamshambulia kwavile kawakosoeni au mnamshambulia kwavile hamuna hoja mpya ?Siyo shule zote ni za wakatoliki jifunzage kuandika taarifa sahihi. Kwa hiyo hata Ilboru(Arusha) ilikuwa ya wakatoliki? Acha ushabiki wa kidini andika tarifa sahihi kwa faida ya wasioujua hasa vijana wa siku hizi
Pia Kibasila ile karibia na uwanja wa taifa huku Dar ilikuwa mali ya wahindi (Singasinga kama sijakosea)Sio shule zote zilikuwa za Catholic ndugu mkupuo .
Mazengo Complex ilikuwa ni ya Anglican.
Msalato Girls ilikuwa ni Anglican.
duh akili hz ni sifurii kbs [emoji23][emoji23]Makaz ni ya wenye madrasa. Kama kawaida wenye makanisa upenda kujenga kwa waislam kama wanvyokazania kujaza makanisa zanzibar
Una uelewa mfinyu sana wa mambo au wewe ni "slow learner".sasa umekosoa nn , hoja ni kuwa ukikuta shule ina kanisa basi ujue iliwai kuwa mali ya kanisa ikataifishwa
🤔🤔🤔🤔Mimi leo nimesali Pugu Catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata moja kwa moja.
Hivi ilikuwaje Serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?
Serikali liangalieni hilo plz.
UongoHiyo ni shule ya wamisionari,kanisa na shule vilijengwa pamoja kama ilivyo Minaki.Hiyo ilikuwa ikiitwa St.Frances Collage ya wakatoliki.Hapo akifundisha kijana mdogo Julius baada ya kutoka Edinburg Scotland.Shule hii baada ya uhuru ilitaifishwa kama zingine za kanisa ili kuondoa upogo wa elimu katika nchi.
Vipele vya tetekuwanga🤣🤣🤣Kiukweli uzi umeandika wewe ila aibu nimeona mimi. Ila sio mbaya hivyo vipele vya tete kuwanga huwa vinawasha sana hasa msimu huu wa Jua kali jambo ambalo limekupelekea kukosa umakini kwenye mambo ya msingi.
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
DOCEBIT VOS OMNIA--- He will teach you everything; The Holly SpritKama eneo unalozungumzia ni Pugu sekondari basi elewa kuwa hiyo shule ilikuwa ni milki ya kanisa Katoliki.
Hujamuelewa.Sio shule zote zilikuwa za Catholic ndugu mkupuo .
Mazengo Complex ilikuwa ni ya Anglican.
Msalato Girls ilikuwa ni Anglican.
Pengine wewe ni mtoto wa juzi na hujui historia ya shule ya Pugu.Mimi leo nimesali Pugu Catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata moja kwa moja.
Hivi ilikuwaje Serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?
Serikali liangalieni hilo plz.
Mapinduzi....those days...amazing...DOCEBIT VOS OMNIA--- He will teach you everything; The Holly Sprit