Kwanini Kanisa limejengwa katikati ya madarasa?

Mimi nilikuwa nakaa huku mjini; AZIMIO. Mapinuzi fujo sana huko; wavuta bangi walikuwepo wengi huko
Vile vile ilikuwa ni rahisi kumuona CHALWE akiwa anatoka nyumbani ili uweze ku-take cover kirahisi,,, PUGU
Ulikuwa unakosa uhundoo mapinduzi ndo ilikuwa ya maborn town boss yani kila unyama kule ulikuwepo hata msakoo walikuwa wanajishauri kuja kusachi kulee ni pa motoo,,,,daaah!pugu mabeganii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine kabla ya kuandika uzi pateni kwanza ushauri toka kwa wenye akili..!! Jua kwanza historia ya eneo husika..!! Jua nani anamiliki nini kwenye eneo hilo..!!
 
Mleta mada ana kawaida ya kukurupuka kama uharo ndio maana huwa haeleweki na huwa anaandika viti visivyo na miguu wala kichwa!
 
Aende Paramiho, Ndanda, Kigonsera etc akaone. Asijilalamishe tu hapa
 
Shule ilikuwa ya kanisa, walijenga wenyewe wamisionari, hawakutegema kama iko siku serikali itaitaifisha. Hivyo hiyo serikali unayotaka iliangalie hilo suala, haina cha kufanya, pengine ni kuhakikisha shughuli za kanisa haziingiliani na shughuli za ufundishaji, kama unavyodai kelele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…