Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Just imagine hii ni karatasi ya mtihani wa "MOCK" uliofanyika mwaka huu mwezi May tu hapo, ila hata kabla ya wanafunzi hawajapewa "Marking Scheme" tayari answer sheet yake imeshafika Dar kutoka Mwanza.
Na mtihani wa Mock ni mtihani wa 2 wa uzito baada ya mtihani wa taifa. Binafsi siku nikibahatika kukutana na answer sheet ya mwanangu mtaani imefungashiwa vitumbua au chips, wilaya/mkoa husika tutaenda kuelewana nao vizuri mahakamani kwa sababu hizi taarifa ni confidential, kama siyo confidential basi hizi answer sheet wawe wanarudishiwa wanafunzi husika.
Na mtihani wa Mock ni mtihani wa 2 wa uzito baada ya mtihani wa taifa. Binafsi siku nikibahatika kukutana na answer sheet ya mwanangu mtaani imefungashiwa vitumbua au chips, wilaya/mkoa husika tutaenda kuelewana nao vizuri mahakamani kwa sababu hizi taarifa ni confidential, kama siyo confidential basi hizi answer sheet wawe wanarudishiwa wanafunzi husika.