Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Wewe kibaraka wa kipara mwezi, angani na ukosi siku zako za kuzima zimewadiaMwenge ni protocal ya Rais, nilitarajia Mkuu wa Mkoa wa Arusha leo akabidhi mwenge kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara. Kulikoni Arusha!?
Hata mgomo wa wafanyabiashara Namanga, kwa nini Mkuu wa Mkoa wa Arusha hajaenda kuushughulikia?
Tunajua wewe si muumini wa legacy. Huna baya kuuliza. Wacha wafia legacy akina Etwege waje wakujibuMwenge ni protocal ya Rais, nilitarajia Mkuu wa Mkoa wa Arusha leo akabidhi mwenge kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara. Kulikoni Arusha!?
Hata mgomo wa wafanyabiashara Namanga, kwa nini Mkuu wa Mkoa wa Arusha hajaenda kuushughulikia?
Wewe kweli Pimbi.Tutajie kifungu cha katiba kinachosema Mwenge utapokelewa na Mkuu wa mkoa 🐼
Wewe ni SimbilisiWewe kweli Pimbi.
Kazi kuu ya kwanza ya Mkuu wa Mkoa ni kumpokea Rais katika mkoa wake.
Kazi kuu ya pili ni kuupokea mwenge.
Sasa zile Trilioni 1.7 nani atasimamia mgao wake?Mwenge ni protocal ya Rais, nilitarajia Mkuu wa Mkoa wa Arusha leo akabidhi mwenge kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara. Kulikoni Arusha!?
Hata mgomo wa wafanyabiashara Namanga, kwa nini Mkuu wa Mkoa wa Arusha hajaenda kuushughulikia?
Huwa hakoseiBritannica kashatuambia what's going on
Nakumbuka Jiwe alivyomtuma Kinana.Makonda katumwa S.Africa kutibiwa acheni kuzusheni
Nakumbuka Jiwe alivyomtuma KinanaMakonda katumwa S.Africa kutibiwa acheni kuzusheni
Oyaa wewee ghorofa la urefu 40 linalojengwa maji ya chai limefika wapi?Huwa hakosei
Hakosei kabisaaaHuwa hakosei
Kwani mkuu wa mkoa haruhusiwi kwenda likizo?Mwenge ni protocal ya Rais, nilitarajia Mkuu wa Mkoa wa Arusha leo akabidhi mwenge kwa Mkuu wa Mkoa wa Mara. Kulikoni Arusha!?
Hata mgomo wa wafanyabiashara Namanga, kwa nini Mkuu wa Mkoa wa Arusha hajaenda kuushughulikia?
britanicca umemwaga ulumbi na wewe huaga ukisema inakua ukisema DAB yupo kwenye mabarafu sikupingiKapigwa unyunyu yupo SA kwa matibabu agent kutoka urusi alishatuambia kinachoendelea hapa tunasubiria taarifa njema tufanye sherehe
Likizo ipi?Kwani mkuu wa mkoa haruhusiwi kwenda likizo?
Unaumwa nini mkuu?Nipo SA naumwa 😎
Why umuombee mwenzako mabaya? Hujui ana familia? Kama.kwako ni mbaya kwa wengine mzuri.Kapigwa unyunyu yupo SA kwa matibabu agent kutoka urusi alishatuambia kinachoendelea hapa tunasubiria taarifa njema tufanye sherehe