Kilimo ni sayansi mkuu, yaani kilimo Cha kushika jembe au trekta sio kilichopo kwenye somo la kilimo. Kule Kuna Mambo mengi mno. Na Kwa upande wa biashara na uchumi hesabu Kama kawa. Kwahiyo acha twende tu.
Kuhusu agriculture Ile ya juu juu ipo kwenye geography kwahiyo idea watajifunzia huko watoto.