Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,153
- 2,673
Kwanini Kaunda Suti lisiwe vazi la taifa?
Ilikuwaje kuwaje vazi la kaunda suti kuanza kutumika tanzania?
Kwanini limekuwa maarufu kwa viongozi hasa wabunge?
Kwanini sehemu kama chuo cha CFR wanataka liwe vazi la wanachuo?
Kwanini kaunda suti itumiwe mabalozi wengi?
Kwanini rangi nyeusi na blue hupendwa sana?
Kwanini kaunda suti isiyo na kola ni maarufu nchi za asia?
Itoshe kusema Tanzania wafanye rasmi kaunda suti kuwa vazi la taifa
Ilikuwaje kuwaje vazi la kaunda suti kuanza kutumika tanzania?
Kwanini limekuwa maarufu kwa viongozi hasa wabunge?
Kwanini sehemu kama chuo cha CFR wanataka liwe vazi la wanachuo?
Kwanini kaunda suti itumiwe mabalozi wengi?
Kwanini rangi nyeusi na blue hupendwa sana?
Kwanini kaunda suti isiyo na kola ni maarufu nchi za asia?
Itoshe kusema Tanzania wafanye rasmi kaunda suti kuwa vazi la taifa