Watetea wastaafu wanaoenda kulipwa asilimia 25% ni upumbavu kwa serikali.Nijuavyo mimi Kenya airways inamilikiwa na KLM ya Uholanzi kwa asilima kubwa tu, na KLM wanasafirisha abiria ktk Kenya kwenda USA kupitia kwao Uholanzi kwa miaka mingi tu, sasa hili la Kenya Airways kuanzisha safari za Kenya kwenda USA limekaaje? Vipi kuhusu KLM? Wanashindana au wanashirikiana? Kwa maana hata ofisi ni moja kwa mfano Ofisi ya KLM/Kenya airways ni hiyo hiyo, ...
7.8% tu ndio hisa za KQ ambazo KLM inamiliki, asilimia hizo zingine zinamilikiwa na wakenya, serikali/banks za Kenya. Mbona unapenda sana kujiabisha mleta mada? KLM ni 'strategic partner' tu, wa kimataifa, kwa KQ.
Watetea wastaafu wanaoenda kulipwa asilimia 25% ni upumbavu kwa serikali.
Tumia mda vizuri
Mwambie huyo aache upumbavu! Wastaafu wanaenda kulipwa 25% ya pesa zao,hii dhambi ni kubwa kuliko dhambi zoteWatetea wastaafu wanaoenda kulipwa asilimia 25% ni upumbavu kwa serikali.
Tumia mda vizuri
#12Inahusiana nini na mada husika? Kati ya mimi na wewe nani anapaswa kutumia muda wake vizuri kama hata hauwezi kusoma na kuelea maudhui ya Mada?
Nimekupa fact ya hisa za KQ ambazo KLM inamiliki, 7.8% tu. Huo ushirikiano mwingine hauhusiani kwa njia yeyote na hisa za KQ wanazomiliki KLM. Kama ni kweli kwamba huwa unasafiri sana(frequent flier) ungekuwa unafahamu kuhusu huduma hiyo kwenye mkataba wa SKY TEAM, wa mashirika ya ndege... na kwamba KQ na KLM wote ni members wa Sky Team. Baadhi ya members wengine, China Airlines, Delta, Korean, Saudia, China Eastern, China Southern, Czech Airlines n.k. KQ inacheza kwenye ligi za juu jombaa.Nimeshafiri na KLM/ Kenya airways, hivyo najua ninachokiongelea, kwa mfano kama ukitoka USA na umenunua tiketi ya KLM ya Uholanzi ukifika Uholanzi unapanda Kenya Airways mpaka Dar/KIA hata kama haukununua tiketi ya Kenya Airways, hivyo ina maana wanashirikiana na ndo maana nikauliza itakuwaje hapo, kama Kenya airways nao wanaruka kwenye USA tokea Kenya? Kwa maana ukienda kwa mfano Dar kununua tiketi wote wako ofisi moja, sasa Je watatenganisha vipi?
Nimekupa fact ya hisa za KQ ambazo KLM inamiliki, 7.8% tu. Huo ushirikiano mwingine hauhusiani kwa njia yeyote na hisa za KQ wanazomiliki KLM. Kama ni kweli kwamba huwa unasafiri sana(frequent flier) ungekuwa unafahamu kuhusu huduma hiyo kwenye mkataba wa SKY TEAM, wa mashirika ya ndege... na kwamba KQ na KLM wote ni members wa Sky Team. Baadhi ya members wengine, China Airlines, Delta, Korean, Saudia, China Eastern, China Southern, Czech Airlines n.k. KQ inacheza kwenye ligi za juu jombaa.
Who asked you? [emoji15] Anyway, you can always choose to fly with ATCL from Amsterdam. Hahaha! [emoji38]both KLM and KQ are members of flying blue, the sky team. They share the ground staff at Schipho. but one partner has a tendency of over booking. it happened to me twice. this is why I'm no longer interested to fly with dem.
Who asked you? [emoji15] Anyway, you can always choose to fly with ATCL from Amsterdam. Hahaha! [emoji38]
macho zenye zimezoea propaganda.. yakisoma ukweli huona uwongo... open ur eyes to the real world my friend!! a fish in a pond only knows the pond
*FAULTTeh teh teh tihiii
it's not your fort, but a best of your knowledge and exposure.
Sindano??? [emoji15] Ipi tena, kwamba wivu wako wewe hapo utazuia upande KQ? Mmmh, sawa sawa mzee, nimekuelewa.Ahaaa haaa haaa
SINDANO hiyo ndo inasababisha povu.
Teh teh teh tihiii