Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,128
Kumalizwa kijumuia ndio Ku ignore sheria za nchi, unachekesha wewe.Ya jumuiya. Yanamalizwa ki Jumuiya.
Kuku wa jirani yako ameingia kwenye banda lako.
Utamkamata na kwenda kumuuza au utamrudishia mwenyewe?
Tz has a lot to loose tusipokuwa wakali na mipaka yetu. Wewe ni political affiliated so you don't see sense as long as its not from the political side you favour