David lusinde
Member
- Feb 15, 2013
- 7
- 0
Nina kesi tangu 2008, mpaka sasa bado inainaendelea.
Tumeshinda kesi hiyo ktk ngazi ya usuluhishi, uamuzi na tukafika mahakamani kwa ajili ya ukazaji wa hukumu, hukumu iliakazwa na ikaamuliwa yule mwajiri alipe.
Yyule mwajiri hakulitekeleza agizo la mahakama kama alivyoamuriwa, ikafuata kuanza kukamata mali zake ili ziuzwe ili tulipwe, zilikamtwa gari mbili, yule mwajiri akaenda mahakamani kuweka pingamizi kwamba pesa anayodaiwa ni kidogo lakini hizo anazoamuliwa na mahakama ni nyingi.
Mahakama ikamridhia ktk hilo na ndio hatua tuliyopo. Mbona naona tunapotezewa muda bure ikiwa hukumu za nyuma zinaonyesha mambo yale yale sasa iweje mahakama imridhie kutupotezea muda ikiwa kila kitu kiko wazi?
Kwanini basi kesi ya kazi ifanane na kesi ya mauaji au ndio mambo ya rushwa?
Tumeshinda kesi hiyo ktk ngazi ya usuluhishi, uamuzi na tukafika mahakamani kwa ajili ya ukazaji wa hukumu, hukumu iliakazwa na ikaamuliwa yule mwajiri alipe.
Yyule mwajiri hakulitekeleza agizo la mahakama kama alivyoamuriwa, ikafuata kuanza kukamata mali zake ili ziuzwe ili tulipwe, zilikamtwa gari mbili, yule mwajiri akaenda mahakamani kuweka pingamizi kwamba pesa anayodaiwa ni kidogo lakini hizo anazoamuliwa na mahakama ni nyingi.
Mahakama ikamridhia ktk hilo na ndio hatua tuliyopo. Mbona naona tunapotezewa muda bure ikiwa hukumu za nyuma zinaonyesha mambo yale yale sasa iweje mahakama imridhie kutupotezea muda ikiwa kila kitu kiko wazi?
Kwanini basi kesi ya kazi ifanane na kesi ya mauaji au ndio mambo ya rushwa?