MKATABA M100 ya kwako laki saba, 99.3m wanachukua wazee wa fursa (watu wa kati) hii pia husababisha wasanii wanaojielewa kukacha matangazo hayo munayoyalilia
Kama ni mvuto anao, kama ni fans base, anayo kubwa.
Pengine sababu zinaweza kuwa hizi:-
1. Ni ghali sana
2. Hapendi kutokana na imani yake au matakwa yake.