ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Ndio....Kuna video moja niliona inaonyesha jinsi ya kutumia choo cha kukaa ili ufungue njia vzr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio....Kuna video moja niliona inaonyesha jinsi ya kutumia choo cha kukaa ili ufungue njia vzr
Ndio....
Kweli kabisa shekh wangu, duaa muhimu.... unakuta mtu anaingia bafuni huku anaimba unategemea asipige mueleka kweli hapo.Hakuna uhusiano ILA ninachojua lazima kabla hujaingia chooni au bafuni usome Dua maana kule kuna Majini ya kiume na kike au masheitwani hivyo huweza kukukumba mda wowote. Mengine hutumwa mengine ndo home. Unatakiwa useme Allahuma inni audhubika minal khubuth walkhabaith. Tafsiri ni kuwa Ee mola nakuomba unikinge kutokana na masheitwani wanaume na wanawake. Na ukitoka pia uombe Dua ya kushkuru na kuomba msamaha. Ghufuranaka. Ee mola nisamehe.
Tena mziki mnene kweli kweli. Ule wa tekno....Kweli kabisa shekh wangu, duaa muhimu.... unakuta mtu anaingia bafuni huku anaimba unategemea asipige mueleka kweli hapo.