Kwanini kiharusi mara nyingi hutokea bafuni au chooni?

Kweli kabisa shekh wangu, duaa muhimu.... unakuta mtu anaingia bafuni huku anaimba unategemea asipige mueleka kweli hapo.
 
Afya nikuoga maji ya moto au vuguvugu. Mwili wa binadamu nikama chupa ya chai ebu chukua chupa ya chai umwage chai alafu weka maji ya baridi Kitakachotokea ndivo kinavotokea kW binadamu. Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…