The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Salaam!
Hivi kwanini wakuu watu siku hizi ukiwaambia kuna hela nasikilizia hapa au kuna mishe naisikilizia hapa wanaona kama kijana analeta janja janja 😅😅😅
Tena ukitaka uachane na demu akuombe pesa afu umjibu kuna mishe nasikilizia hapa itiki ✅ ✔ yaani ile ikitiki nitakusanua, huyo demu lazima muachane.
Sasa vijana nao wengi wana stori nyingi sasa hivi hawasemi tena kuna mishe nasikilizia hapa.
Lakini kuna wakati kweli unakuta kuna mishe au hela unasikilizia ila hutoaminika kabisa.
Hivi kwanini wakuu watu siku hizi ukiwaambia kuna hela nasikilizia hapa au kuna mishe naisikilizia hapa wanaona kama kijana analeta janja janja 😅😅😅
Tena ukitaka uachane na demu akuombe pesa afu umjibu kuna mishe nasikilizia hapa itiki ✅ ✔ yaani ile ikitiki nitakusanua, huyo demu lazima muachane.
Sasa vijana nao wengi wana stori nyingi sasa hivi hawasemi tena kuna mishe nasikilizia hapa.
Lakini kuna wakati kweli unakuta kuna mishe au hela unasikilizia ila hutoaminika kabisa.