Kwanini kila event ninayohudhuria huwa napewa 'first-class treatment'?

Ndio ndio
 
Ulipona bro?
 
 
Kwa ulivyoandika huu Uzi unaonyesha ww ni mtu wa namna gani,na wanaokupa uV.I.P wanaenda na wewe unavyoenda
 
Kamshahara?! Kwamba nn mkuu nltaka kusema una hadh kimuonekano lkn kwa kutaja kamshahara kako huenda uko kama huyu mzee
 
Ata akitakiwa mtu wa kafara utapewa first priority unapowaza maxuri usijisahaulishe kuwa na mabaya yapo kwa ajili yako yanakusubiria
 
Post picha yako tuone kuna kitu.
 
Kale ka-tunguli karudishe kwa yule babu mwambie katakuletea sintofahamu.
 
Mwenzako huyu huku.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…