Kwanini kila mwandishi akiandika jambo kuhusu Tanzania, lazima amnukuu Mwalimu Nyerere?

Kwanini kila mwandishi akiandika jambo kuhusu Tanzania, lazima amnukuu Mwalimu Nyerere?

Mkungunero

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2023
Posts
401
Reaction score
569
Imekuwa kama fashion kwamba karibu kila mwandishi akiandika jambo kuhusu Tanzania, lazima amnukuu Mwalimu Nyerere. Wanasiasa na wanazuoni pia hivyo hivyo, kila speech lazima wamnukuu Mwalimu Nyerere.

Huwa najiuliza, kwani wazee wengine hawakuwa na mawazo? Hayajaandikwa? Hawakutoa speeches?

Mzee Karume, Dr. Salim Salim, Mzee Kawawa, Wakina Bibi Titi, Mzee. Sokoine, etc., wao quotes zao zipo wapi? Mbona kama historia yote anapewa Nyerere peke yake?🤔
 
Mzee Karume, Dr. Salim Salim, Mzee Kawawa, Wakina Bibi Titi, Mzee. Sokoine, etc., wao quotes zao zipo wapi? Mbona kama historia yote anapewa Nyerere peke yake?🤔
Hawa wengine uliowataja elimu zao ni za kuunga unga. Nani atawanukuu vilaza hawa?

Huyu Salim bila Nyerere angekuwa mvuvi huko Micheweni.
 
Imekuwa kama fashion kwamba karibu kila mwandishi akiandika jambo kuhusu Tanzania, lazima amnukuu Mwalimu Nyerere. Wanasiasa na wanazuoni pia hivyo hivyo, kila speech lazima wamnukuu Mwalimu Nyerere.

Huwa najiuliza, kwani wazee wengine hawakuwa na mawazo? Hayajaandikwa? Hawakutoa speeches?

Mzee Karume, Dr. Salim Salim, Mzee Kawawa, Wakina Bibi Titi, Mzee. Sokoine, etc., wao quotes zao zipo wapi? Mbona kama historia yote anapewa Nyerere peke yake?🤔
Anza wewe, na utupatie nukuu unazozikumbuka, kama unazo.
 
Back
Top Bottom