Kama Title ya Topics inavyo-sema hii nimeona Mara kadhaa
Bifu limeanzia kwa bobu junior kapotea Adamu Juma kapotea Maneke kapotea Shetta kapotea Ali kiba kapotea yani jamaa anatoboa kwa mabifu tu hii imekaaje wadau?
Fiesta&Tigo shilawadu kama unavyoona anavyo wauwa
Bifu likaja kwa Ommy dimpoz. Kipindi ommy anavuma basi alikua yupo karibu na Diamond ndipo alipo toa hit song na zika-hit ila baada ya kuanza bifu dhidi ya Diamond basi akaanza kupotea kwenye ramani za music.
Yoyote atakae jaribu kuingia anga za huyu Diamond basi lazima apotee jamaa anawazidi kete sana kwenye Game hata kwenye real life. Mm sina Team