Kwanini kila mwenye bifu na Diamond basi lazima apotee kwenye game

Kwanini kila mwenye bifu na Diamond basi lazima apotee kwenye game

Kama Title ya Topics inavyo-sema hii nimeona Mara kadhaa

Bifu limeanzia kwa bobu junior kapotea Adamu Juma kapotea Maneke kapotea Shetta kapotea Ali kiba kapotea yani jamaa anatoboa kwa mabifu tu hii imekaaje wadau?

Fiesta&Tigo shilawadu kama unavyoona anavyo wauwa

Bifu likaja kwa Ommy dimpoz. Kipindi ommy anavuma basi alikua yupo karibu na Diamond ndipo alipo toa hit song na zika-hit ila baada ya kuanza bifu dhidi ya Diamond basi akaanza kupotea kwenye ramani za music.

Yoyote atakae jaribu kuingia anga za huyu Diamond basi lazima apotee jamaa anawazidi kete sana kwenye Game hata kwenye real life. Mm sina Team
Adam Juma waligombana kwa kitu gani mkuu?
 
Mkuuu inaonyesha wazi bila chenga bila kupepesa mboni ww ni team Dangote in bongo flva.....tatizo la waleta bifu kwa Mond ni kuwa uwa wanawekeza sana kwenye bifu kuliko kufanya kazi zao....mwisho wa Siku wanajikuta chaliiiii....na muda ushatambaa na Dogo anasonga tu.
Umegusa penyewe haswa!
 
Kama Title ya Topics inavyo-sema hii nimeona Mara kadhaa

Bifu limeanzia kwa bobu junior kapotea Adamu Juma kapotea Maneke kapotea Shetta kapotea Ali kiba kapotea yani jamaa anatoboa kwa mabifu tu hii imekaaje wadau?

Fiesta&Tigo shilawadu kama unavyoona anavyo wauwa

Bifu likaja kwa Ommy dimpoz. Kipindi ommy anavuma basi alikua yupo karibu na Diamond ndipo alipo toa hit song na zika-hit ila baada ya kuanza bifu dhidi ya Diamond basi akaanza kupotea kwenye ramani za music.

Yoyote atakae jaribu kuingia anga za huyu Diamond basi lazima apotee jamaa anawazidi kete sana kwenye Game hata kwenye real life. Mm sina Team
Mond anamzidi Kiba nini? labda awards za wabeba mabox USA
 
Back
Top Bottom