Naombeni msaada wenu kwa hali na mali juu ya hali yangu
Kwanini kila nikimaliza kufanya mapenzi na mwanamke mbavu huuma sana hasa yanapopita masaa 24. Jana niligegeda mda wa asubuhi cha ajabu toka jana saivi ndo mbavu zimeanza kuuma.
Hapana,, Hilo ni Jini, sio mtu wakawaida *subiri kunasiku Utapelekwa kwa wakwe Baharini,, shtuka kabla ,,Hata hivyo Kwakuwa umeyasema leo hadharani Utakuwa umevujisha Siri,, Natayari kisha gundua kazi kwako mkuu