Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa,
Naombeni msaada wenu kwa hali na mali juu ya hali yangu
Kwanini kila nikimaliza kufanya mapenzi na mwanamke mbavu huuma sana hasa yanapopita masaa 24. Jana niligegeda mda wa asubuhi cha ajabu toka jana saivi ndo mbavu zimeanza kuuma.
Imekuwa ni mara kwa mara sana
Naombeni wenye kujua wanisaidie tatizo ni nini
LONDON BABY
Naombeni msaada wenu kwa hali na mali juu ya hali yangu
Kwanini kila nikimaliza kufanya mapenzi na mwanamke mbavu huuma sana hasa yanapopita masaa 24. Jana niligegeda mda wa asubuhi cha ajabu toka jana saivi ndo mbavu zimeanza kuuma.
Imekuwa ni mara kwa mara sana
Naombeni wenye kujua wanisaidie tatizo ni nini
LONDON BABY