Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Anachonifurahisha huyu dogo anaimprove siku hadi siku. Kingereza chake kinapandaSema harmonize Ana kipaji kwanza anavyoimba kingereza kinyamwezi Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anachonifurahisha huyu dogo anaimprove siku hadi siku. Kingereza chake kinapandaSema harmonize Ana kipaji kwanza anavyoimba kingereza kinyamwezi Sana
Mmakonde anajuaIla me too kali sana
True - mfano hii ngoma jamaa kaua SanaAnachonifurahisha huyu dogo anaimprove siku hadi siku. Kingereza chake kinapanda
Yeah kijana ako na kipaji kikubwa, na ukitaka uprove hilo angalia kwenye namna anavyotengeneza melodies zake lakini pia namna anavyotengeneza hayo mashairi yake.Sema harmonize Ana kipaji kwanza anavyoimba kingereza kinyamwezi Sana
Ikifatiwa na yaw yawAaaha ! Hii intro balaa
Noma sanaB0mb0claaa..aaa...aaa..aaa..tt
Yeah kijana ako na kipaji kikubwa, na ukitaka uprove hilo angalia kwenye namna anavyotengeneza melodies zake lakini pia namna anavyotengeneza hayo mashairi yake.
Vijana kibao wasomi hawana uwezo wa kuichezea lugha Kama harmonize.Ni mfano wa kuigwa maana ni kijana aliyetokea mtaani akapambania ndoto zake now anasonga
Noma sana.Ikifatiwa na yaw yaw
Harmonize ni mwenye juhudi sana reference kutoka bedroom na fall in love hadi kwenye me too
Sure is greatSure, na uzuri huwa anajiamini sana, sasa hivi amekua bora upande huo kuliko wasanii wengi wa kwenye A list
Mara Moja moja nasikiliza kabla ya kubeba zege.Jobless na wewe unakulaga hizi vitu kutuliza ndonga iyo