Kwanini Kingunge asihstakiwe

Mbogela

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2008
Posts
1,384
Reaction score
258
Miaka kama mitatu hivi kumekuwa na kesi za makampuni makubwa duniana kuficha taarifa za mapato yao na kuwafanya maboss wa makampuni na wamiliki wake kufikishwa mahakamani. Sasa je kwanini sisi tusimfikishe mahakamani Kingunge Ngombale Mwilu kwa kuficha ukweli kwa makusudi kabisa huku akijua anatenda kosa kinyume na sheria za JMT juu ya mapato ambayo kampuni yake ilikuwa ikikusanya Ubungo bus terminal?

Jiji lanusa mchezo mchafu stendi ya Ubungo

Hizi kesi za ufisadi zitaisha lini nchi hii? kila siku zinazaliwa mpya?
 
Mie nawashangaa sana Jiji kwa kuzubaa hadi wakati huu kuweza kuchukua shughuli ambazo zimekuwa zikifanywa na familia ya Mzee Fisadi Kingunge. Hii wanaokusanya fedha za parking kwenye mitaa ya jijini hapa si ndio hao hao familia ya Kingunge? Kwa nini Jiji wasiifanya na kazi hiyo ili kuongeza mapato hatimaye waweze kujenga parking systems za underground na hata kujenga barabara za juu kupunguza msongamano unaokera?

Si Kingunge huyu huyu aliyekuwa kwenye Serikali ya Ujamaa na Kujitegemea? Leo kageuka jiwe kawa Bepari mkubwa anayenyonya mapato ya Taifa!
 
Mie nawashangaa sana Jiji ...... Kwa nini Jiji wasiifanya na kazi hiyo ili kuongeza mapato hatimaye waweze kujenga parking systems za underground na hata kujenga barabara za juu kupunguza msongamano unaokera?

!

Asante sana mkuu lakini nadhani kumpokonya na kuongeza mapato ni jambo moja lakini kwanini tusiwe kama wenzetu, huyu ni wa mahakamani, huu ni wizi wa makusudi. Nchi zilizoendelea huwezi kuficha mapato ya kampuni yako, sembuse huyu alipewa tenda, UBT yetu, yeye kaficha kile anachochuma kwenye kitega uchumi wetu. Kama serikali yetu ipo serious tunategemea kusikia Kingunge amevuliwa ubunge na kesho yupo mahakamani na hii kesi tunashinda. Mbona tukizungumzia Downs wanasema wanaogopa atatupeleka mahakamani, kwanini nasisi tusiogopwe na vifisadi kama akina Kingunge kuwa wakidokoa tu tunao, tunwavutia mahakamani na kesho wapo keko kutumika miaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…